TANZIA Profesa Jacob Mutabaji afariki dunia

Saivi ni msimu wa TANZIA tu. Nini kimemuuwa?
 
Jinga sana hilo. Halafu vifo vingi vya wazee sijui alitaka waishi mpaka miaka mingapi
We ushaona huyo mleta uzi analeta vifo vya malaria au ajali humu, yeye kila kifo anachokuja kutangaza humu anakihusisha na corona. Hujaona hapo anasema hicho kifo ni kutokana na kucheleweshwa kwa chanjo Tanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…