Profesa Jay ni tafsiri sahihi ya msemo 'TUISHI". Maisha yake ni faraja kuliko uzuni

Profesa Jay ni tafsiri sahihi ya msemo 'TUISHI". Maisha yake ni faraja kuliko uzuni

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Moja ya Jambo ambalo wanasiasa na Viongozi wengi wameshindwa ni "KUISHI".

Watu wengi wanaopata nafasi au uungwaji mkono wamekuwa wepesi kukengeuka na kuacha kuthamini waliochini Yao matokeo yake wanawageuza wenzao kuwa tambara bovu (kifutio Cha uchafu)

Nimeangalia mwitikio wa wananchi kwenye michango naamini hata wale waliokuwa wapinzani wake wa kisiasa na ukatili wote waliomfanyia kwenye election wamegundua Pofesa anaishi na watu vizuri. Amepata tatizo anapata msaada kitaifa siyo kichama, maana yake ni kwamba huyu mtu anaishi vizuri miyoyoni mwetu na hatuna baya tunaloweza kumuhukumu nalo. Please TUISHI.

Niwaombe pamoja na mambo yote tumweke kwenye maombi apone lakini pia ndugu zangu wanasiasa achaneni na vyama tafteni Kuishi. CCM haina msaada kwenye shida,msaada upo Kwa wananchi. Ukiishi nao wataishi na wewe nakukuombea heri ukiwa Duniani au hata huko tusipopajua. UKIISHI unaipata wafariji kwenye shida....TUISHI

Haya mambo unapewa madaraka unawasabaya makonda watu tuachane nayo hayana tija kwako Wala familia na pia Taifa. Unaweza ukanyanyasa watu ulete maendeleo mwisho unajikuta hakuna maendeleo maana chuki imewajaa uliowapelekea maendeleo

TUAMUE BORA TUWE MASKINI ILA TUISHI, KULIKO KUWA MATAJIRI KWA KUTESA WATU.
 
Hata bila ya serikali kujitokeza kumuhudumia Prof. J. naamini kabisa kwa jinsi alivyotoa mchango wake kwa utamaduni wa nchi,wananchi wangeweza kujitolea kumchangia kwa matibabu yake.!

Watanzania ni watu rahim sana ,nakumbuka hata pale yule mkongwe wa muziki wa dansi King Kiki alipopata shida, Watu wengi walijitolea kumsaidia matibabu yake. Sina taarifa sijui anaendeleaje!!
 
Whisky soda ni nyimbo alio imbwa na band ya bembela. Changanya na Dr ramadhani ongala niambie lini utakuja ili nijiandae.
 
Moja ya Jambo ambalo wanasiasa na Viongozi wengi wameshindwa ni "KUISHI".

Watu wengi wanaopata nafasi au uungwaji mkono wamekuwa wepesi kukengeuka na kuacha kuthamini waliochini Yao matokeo yake wanawageuza wenzao kuwa tambara bovu (kifutio Cha uchafu)

Nimeangalia mwitikio wa wananchi kwenye michango naamini hata wale waliokuwa wapinzani wake wa kisiasa na ukatili wote waliomfanyia kwenye election wamegundua Pofesa anaishi na watu vizuri. Amepata tatizo anapata msaada kitaifa siyo kichama, maana yake ni kwamba huyu mtu anaishi vizuri miyoyoni mwetu na hatuna baya tunaloweza kumuhukumu nalo. Please TUISHI.

Niwaombe pamoja na mambo yote tumweke kwenye maombi apone lakini pia ndugu zangu wanasiasa achaneni na vyama tafteni Kuishi. CCM haina msaada kwenye shida,msaada upo Kwa wananchi. Ukiishi nao wataishi na wewe nakukuombea heri ukiwa Duniani au hata huko tusipopajua. UKIISHI unaipata wafariji kwenye shida....TUISHI

Haya mambo unapewa madaraka unawasabaya makonda watu tuachane nayo hayana tija kwako Wala familia na pia Taifa. Unaweza ukanyanyasa watu ulete maendeleo mwisho unajikuta hakuna maendeleo maana chuki imewajaa uliowapelekea maendeleo ..TUAMUE BORA TUWE MASKINI ILA TUISHI, KULIKO KUWA MATAJIRI KWA KUTESA WATU.
Kiswahili hiki cha uzuni ndicho tutakipeleka AU? Tatizo letu ni kuwa wajuaji na wabishi sana.
 
Kuishi vizuri na watu kuna faida nyingi sana...
 
Back
Top Bottom