Profesa Kabudi akutana na Balozi wa Vatican nchini Askofu Mkuu Marek Solczynski. Akubaliana kushirikiana na nchi hiyo katika kudumisha amani

Tatizo lipo dunia nzima mpo busy kutafuta ushauri kwa mabalozi badala ya kutatua tatizo lililopo ila mimi toka mlivyofata novida madagaska kwa ndege sikuamini tena Prof...
 
Siku mbili kabla JPM kututoka
 
Upuuzi mtupu
kaanchi kaduchu ka kimafia kama haka kana faida gani kwa Tanzania
aaaahhh nimechelewa kukomenti,,,
 
Upuuzi mtupu
kaanchi kaduchu ka kimafia kama haka kana faida gani kwa Tanzania
aaaahhh nimechelewa kukomenti,,,
zaidi ya 90% wananchi wake ni PhD holder. Hawa ndo wanapanga agenda za dunia....tatizo siyo ukubwa,ni ubora
 
zaidi ya 90% wananchi wake ni PhD holder. Hawa ndo wanapanga agenda za dunia....tatizo siyo ukubwa,ni ubora
Aiseee...
Hizo ni stori za vijiweni,
hiki kiinchi hakina mashiko yoyote, ndio kwanza wanajibu tuhuma za kubaka watoto wa kiume na kuficha uchunguzi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…