Profesa Kabudi atangaza kusambaza Singeli Dunia Nzima. Atatumia njia gani? Anajua mwenyewe

Profesa Kabudi atangaza kusambaza Singeli Dunia Nzima. Atatumia njia gani? Anajua mwenyewe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Aidan Kabudi, amesema Tanzania ina mpango wa kuutangaza muziki wa Singeli kimataifa ili kuufanya kuwa alama ya utambulisho wa Mtanzania.

Kabudi alitoa kauli hiyo leo alipotembelea Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), ambapo alipokelewa na wafanyakazi mbalimbali wa taasisi hiyo.

My take:

Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.

Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"

Zaidi Mh Kabudi huyu hapa

 
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.

Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"

Zaidi Mh Kabudi huyu hapa

View attachment 3240793
Hivi huyu si alimuita yule Jamaa wa chato mungu
 
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.

Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"

Zaidi Mh Kabudi huyu hapa

View attachment 3240793
Hivi huyu profesa alisoma nini kwenye degree zake hizo? Mimi naona ni matakataka tu.

Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa?

Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu na taarab yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu unaiwaheshimu, abadan.

Pili ukikuta muziki wenyewe unavyochezwa, ni mtindo wa kukosa maadili tu. Wanacheza bila chupi, halafu wanawake lazima washike ardhi huku mikundu wameacha juu wakinengua
 
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.

Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"

Zaidi Mh Kabudi huyu hapa

View attachment 3240793
Huyu ni Profesa wa nini???

Sorry....
 
Hivi huyu profesa alisoma nini kwenye degree zake hizo? Mimi naona ni matakataka tu.

Wametumia kigezo gani kuifanya singeli ndiyo alama ya Taifa?

Muziki wenyewe umejaa matusi nafuu na taarab yenyewe ina mfumbo. Singeli huwezi kusikiliza na watu unaiwaheshimu, abadan.

Pili ukikuta muziki wenyewe unavyochezwa, ni mtindo wa kukosa maadili tu. Wanacheza bila chupi, halafu wanawake lazima washike ardhi huku mikundu wameacha juu wakinengua
Kabudi oyeeee
 
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.

Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"

Zaidi Mh Kabudi huyu hapa

View attachment 3240793
Huyu naye amekuwa moja wa maprofesa wa ovyo akiungana na Lipumba na Kitila Mkumbo hovyo kabisa
 
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.

Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"

Zaidi Mh Kabudi huyu hapa

View attachment 3240793
Kuna watu wanamchukulia serious huyo mzee tapeli? Alete kwanza taarifa za ile kampuni ya Kenya ya kununua korosho.
 
Back
Top Bottom