Ina sjui nkuchomeke πUjinga mtupu,"eti nakupenda we we na huyo bwanako" ndio uwapelekee duniani utawaeleza maana yake nini?
Takataka kbs hawaNatamani Trump angeisikia hii
Balazi wa US fikisha hii
Yaani hawa ndio wenye PhD
Wanakera sanaTakataka kbs hawa
Ova
Jamani hata ile dawa ya Corona aliyoitoa Madagascar hamuiamini?Huyu naye amekuwa moja wa maprofesa wa ovyo akiungana na Lipumba na Kitila Mkumbo hovyo kabisa
Huyu mzee kachanganyikiwaIna sjui nkuchomeke π
Niingie mlango uani π
Qq#mmk walahi hawa watu wameamua kuwapoteza kabisa v8jsna
Mziki wanawake kwa wanaume wanacheza wanakalia chupa
Ova
Pale ndiyo alijidhalilisha sanaJamani hata ile dawa ya Corona aliyoitoa Madagascar hamuiamini?
Kuna NGOMA nyingi za kienyeji ambazo ni melodic zinaweza kueleweka duniani kama NGOMA za wagogo, wahaya, wanyaturu, wangoni lakini hizi za kizaramo wanaoongea hovyo bila mpangilio hazina na haziwezi kueleweka hata nje ya Tanzania sembuse ulaya?Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.
Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"
Zaidi Mh Kabudi huyu hapa
View attachment 3240793
π€¦πΎββοΈπππWaziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.
Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"
Zaidi Mh Kabudi huyu hapa
View attachment 3240793
Tatizo lako nini?Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.
Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"
Zaidi Mh Kabudi huyu hapa
View attachment 3240793
Anafanya nn kilosa?Kabudi kwao ni Manyoni
Ni mjomba wa Tundu Lisu π
Profesa kutoka jalalani katika ubora wake. Singeli ndio kitu pekee ambacho CCM wanawaza kwa wananchi. Bata wahedi
Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Profesa Kabudi, ambaye kumbukumbu zinaonyesha kwamba hajawahi kucheza singeli mahali popote kwao Morogoro wala Dar es Salaam, Ametangaza kuipeleka Singeli (Muziki wa Wasela) Duniani kote.
Bali hakusema mbinu ambayo atatumia kusambaza muziki huo wa Uswahili na usio na maadili ili ukubalike Duniani, ambapo nyimbo yake Maarufu inaitwa "Hainaga Ushemeji"
Zaidi Mh Kabudi huyu hapa
View attachment 3240793