Profesa Kabudi atangaza kusambaza Singeli Dunia Nzima. Atatumia njia gani? Anajua mwenyewe

Ujinga mtupu,"eti nakupenda we we na huyo bwanako" ndio uwapelekee duniani utawaeleza maana yake nini?
Ina sjui nkuchomeke πŸ˜„
Niingie mlango uani πŸ˜„
Qq#mmk walahi hawa watu wameamua kuwapoteza kabisa v8jsna
Mziki wanawake kwa wanaume wanacheza wanakalia chupa

Ova
 
Takataka kbs hawa

Ova
Wanakera sana
Hivi hawajisikilizi yanayowatoka vinywani
Huyu ndio alileta juice toka Madagascar kama dawa ya Corona
Aisee kuna watu wataacha historia kwa wajukuu zao za kijinga sana
 
Hii ndio 'Professorial rubbish' kwa kweli.. we're doomed
 
Ina sjui nkuchomeke πŸ˜„
Niingie mlango uani πŸ˜„
Qq#mmk walahi hawa watu wameamua kuwapoteza kabisa v8jsna
Mziki wanawake kwa wanaume wanacheza wanakalia chupa

Ova
Huyu mzee kachanganyikiwa
 
Kuna NGOMA nyingi za kienyeji ambazo ni melodic zinaweza kueleweka duniani kama NGOMA za wagogo, wahaya, wanyaturu, wangoni lakini hizi za kizaramo wanaoongea hovyo bila mpangilio hazina na haziwezi kueleweka hata nje ya Tanzania sembuse ulaya?
 
πŸ€¦πŸΎβ€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tanzania haina iconic music unaoitambulisha kimataifa kwenye upande wa sanaa.

Arabs wote wana Aina yao ya music.
Spanish pia Wana aina yao ya music.
DRC Wana lingala yao.
Nigerians wana Music wao.
SA wana kwaito na mapiano sijui.

Tanzania tunadandiadandia tu hatueleweki.
 
Tatizo lako nini?
 
Tuanze kusambaza Senene Dunia nzima, korosho, zambarau na makochi ya Keko na Fire Morogoro!
 
Hahahahaah Mapropesa wa kibongoz, kweli sisi nyani tunaendelea na evolution kuelekea ubinadamu kamili!
 
Profesa kutoka jalalani katika ubora wake. Singeli ndio kitu pekee ambacho CCM wanawaza kwa wananchi. Bata wahedi

Hivi tulimkosea nini huyu Mungu jamani? Au hayupo? Mbna tunakesha sana kwa maombi na kufunga na masadaka kwa mitume na manabii wa kizazi kipya? Why matokeo ni yaleyale tu? Tunakosea style ya maombi nini? Au sio vitu halisi?

Ati huyu nchi ilichoma mapesa kumsomesha hadi ughaibuni Ujeremani!! Alitulisha michuzi ya mitishamba ya Madagasca na sasa kaja tena na upigaji mpya, dah!
 

Nwenyekiti wa Ukwata na Mtoto wa Mchungaji huyo. Labda anatamani mambo aliyoyakosa Ujanani.....!!
 
Tanzania vitu visivyo na maadili na vyenye dalili za ushoga vinakubalika sana. Hasa kwa kupewa mileages na viongozi wa ccm.
Singeli! Baikoko! Khanga Moko! Diamond! Zuchu! Wazee wa mikoti! Yaani full maujinga ujinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…