prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 191
huyu ni mmoja wapo wa magamba anaye nufaika na system mbovu iliyopo sasa. ndo aliyebeba dhamana ya kupinga mgombea binafsi pale mahakama ya rufaa na ni mmoja wapo wa mawakili wa ccm na mshauri wa sheria ccm makao makuu...hivyo msitarajie mapya kutoka kwake...wasomi ni akina prof shivji , dr lwaitama nk pamoja yakuwa ni magamba lakini wao wametupa minyororo ya uchama na usisi na kujitwisha utanzania
Kiboko yake ni prof Maina!
Kabudi ni ms0mi ila ni mlamba nyayo wa politicianz,elim yake haina tija kwa watanzania!
Profesa NJAAA.
Huyo nae atajiita msomi kweli?
Haya ndiyo matatizo ya kuingizwa kwenye mfumo, objectivity na academic independence vyote huzikwa. kwa ufupi, huyu ni jamaa ni mlinzi wa mfumo.
What a disgrace! Ila tumsamehe tu bure.. After all anaitwa Palamagamba!
Ili Muungano uimarike, hauna budi kujadiliwa na kurekebishwa katika katiba mpya. Bila kufanya hivyo, migongano ya kisiasa itaendelea na hatima yake ni kuvurugika kwa amani nchini. Prof. Kabudi angeeleza sababu za kutamka kwa nini muungano usijadiliwe katiaka mchakato wa kutunga katiba mpya.