johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Prof Kindiki amesema yeye hawezi Kujiuzulu kwa Makosa ya Polisi kuuwa Waandamanaji
Kindiki amesema kila askari Polisi atabeba Msalaba wake mwenyewe
Kindiki amesema Yeye kama Waziri ni Mwanasiasa na yote ayatendayo ni kwa mujibu wa Katiba na sheria na anaweza Kujiuzulu endapo tu atakuwa amevunja Katiba
Source: Citizen TV
Kindiki amesema kila askari Polisi atabeba Msalaba wake mwenyewe
Kindiki amesema Yeye kama Waziri ni Mwanasiasa na yote ayatendayo ni kwa mujibu wa Katiba na sheria na anaweza Kujiuzulu endapo tu atakuwa amevunja Katiba
Source: Citizen TV