Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Naamini Katiba ya Kenya imekiukwa uteuzi Naibu Rais
Nimeshangaa kuona mtu aliyewahi kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani na bunge la senate 2020 kisha kufukuzwa kwenye nafasi ya Naibu Spika anateuliwa tena kuwa Naibu wa Rais
Naomba wanazuoni wa sheria mtupe mwongozo wa kikatiba kuhusu suala hili
Niwatakie siku njema
Pia soma
Rais Ruto ampendekeza Prof. Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais baada ya Rigathi Gachagua kuondolewa madarakani
Naamini Katiba ya Kenya imekiukwa uteuzi Naibu Rais
Nimeshangaa kuona mtu aliyewahi kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani na bunge la senate 2020 kisha kufukuzwa kwenye nafasi ya Naibu Spika anateuliwa tena kuwa Naibu wa Rais
Naomba wanazuoni wa sheria mtupe mwongozo wa kikatiba kuhusu suala hili
Niwatakie siku njema
Pia soma
Rais Ruto ampendekeza Prof. Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais baada ya Rigathi Gachagua kuondolewa madarakani