Uchaguzi 2020 Profesa Lipumba kurudisha fomu ya (NEC) kesho Agosti 25, 2020 jijini Dodoma

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234

PROF. LIPUMBA KUREJESHA FOMU (NEC) KESHO AGOSTI 25, 2020 JIJINI DODOMA

Mgombea urais wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Ibrahim Lipumba pamoja na Mgombea Mwenza, Hamida Abdallah Huweishi kesho wanatarajia kurejesha fomu katika Ofisi za tume ya taifa ya uchaguzi ( NEC), Njedengwa Jijini Dodoma.

#MchumiTufikishe
#NitasimamaNaCUF
 
Akipata kura 1000 natembea uchi kutoka Buguruni Malapa hadi Buza kwa Mpalange
HaaπŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒ
Mkuu Acha Hizo, Utaharibu Swaumu Za Watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…