CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Wa Tabora, Siyo Mwanasiasa Ila Amesimama Kuonyesha YupoWa wapi? Kaanza siasa lini?
HaaπππππππAkipata kura 1000 natembea uchi kutoka Buguruni Malapa hadi Buza kwa Mpalange
HahahaHaaπππππππ
Mkuu Acha Hizo, Utaharibu Swaumu Za Watu
Atakuwa ChiziWa Tabora, Siyo Mwanasiasa Ila Amesimama Kuonyesha Yupo
Kwa mpalange tena πAkipata kura 1000 natembea uchi kutoka Buguruni Malapa hadi Buza kwa Mpalange
Tapeli mbobevu na mamluki asiyekata tamaa.Ndie nani huyu?
Duh anasitahili kupigwa mawe adi kufaTapeli mbobevu na mamluki asiyekata tamaa.