johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba ameshangazwa kuona Serikali ya CCM inaishiwa maji
Lipumba amesema hii nchi kila unapochimba unapata maji salama sasa kwanini CCM wasijenge tu mabwawa na kumaliza tatizo?
Source ITV habari
Lipumba amesema hii nchi kila unapochimba unapata maji salama sasa kwanini CCM wasijenge tu mabwawa na kumaliza tatizo?
Source ITV habari