Hakuna shaka kuwa wewe hujitambui. Au tuseme aidha una chuki binafsi na Prof. Lipumba au nyie ndo wavurugaji wa harakati za kimageuzi.Tanzania tunaongoza kwa unafiki,kama kungekuwa na Medali tungekuwa tunazizoa kila mwaka.
Huyu Mzee aliyekuwa amepangwa amalize upinzani Visiwani leo anaongea nini yarabi?
Hujaelewa Nini? Na yeye aliufyata.Tanzania tunaongoza kwa unafiki,kama kungekuwa na Medali tungekuwa tunazizoa kila mwaka.
Huyu Mzee aliyekuwa amepangwa amalize upinzani Visiwani leo anaongea nini yarabi?
Hoja yako imetofautia na heading!Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.
Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.
Hiyo bastola ndiyo alitumia kumuua Ben Saanane huyo Magufuli
Kamuulize nwenye jina.Charles mbowe yuko wapi
Katiba mpya haiwezi kuwa Katiba ya wanasiasa,sisi wananchi hatuitaki hiyo Katiba ya watawala ni upumbavu..Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.
Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.
Ukubwa wa viatu unapimwaje?Hoja yako imetofautia na heading!
Mama Samia Suluhu Hassa tayari ameshavivaa viatu hivyo na vimekuwa vidogo kwake kwani Mwendazake hakuwahi kufika Marekani lakini Mama ameshatoboa mpaka anga hizo!
Otherwise nawapongeza kina Lipumba kwa jitihada za kudai kaiba mpya. Jambo la msingi ni wapinzani kuunganisha nguvu pamoja badala ya kila mmoja kuhangaika pekeake!
Lini umeme ulikuwa haukatiki katiki?Ndiyo maana zama hizi za mwanga umeme unakatika katika.
Lipumba kafufuka?Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.
Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.
Matokeo yake hakupewa hata mojaLipumba uyu uyu si Ndo alienda ikulu kuomba apewe angalau majimbo matano?
Umbwa kabisa Yule[emoji4]Matokeo yake hakupewa hata moja