Katwangilo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 759
- 738
Sijui kwa nini wewe hakukuua kabisa kama alikuwa muuaji!!what is special? UUAJI wa Magufuli? Rubbish!
Kidume hicho kilikuwa hakina mchezo kwenye kazi.
Wametolewa jalalani! Aibu tupu!Kwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.
Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.
Itamlazimu afanye hivyo endapo maaskofu watatoa waraka kwa waumini unaolekeza kuchagua mkristo. Ni kama vile alivyofanya Edward Lowassa kanisani kule Tabora kwenye uchaguzi wa 2015.Mnafiki sana huyo 2025 atapita tena misikitini kumnusuru Hangaya kama alivyofanya kwa JK 2010....
Hahahah huyu ndo Lipumba reprofeseliKwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.
Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.
Nawadharau sana maprofesa hasa kabudiKwenye mhadhara wa kudai katiba mpya ulioandaliwa na chama cha wananchi leo wajumbe wamesema lazima kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 twende na katiba mpya na wamemtaka rais Samia kuachana na mambo ya hayati Magufuli kwani hatayaweza.
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amesema kiatu cha marehemu Magufuli ni special na hamna wa kuvivaa kwani alikuwa kidume kwelikweli na kila mtu aliufyata na kuogopa kabisa.
Lipumba amesema kwa sababu ya hofu hiyo kuna baadhi ya maprofesa wazima walifikia hatua ya kusema wametolewa jalalani.
Habari.Nawadharau sana maprofesa hasa kabudi
Acha Propaganda za uongo.Leo ni miezi 8 bila Magufuli lakini kila wakigeuka huku hakuna umeme, wakigeuka hakuna maji ,wakigeuka huku mbolea lakini moja, wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye migodi ,wakigeuka huku wanafukuzwa kwenye mitaa, wakigeuka huku Mungu wao yuko jela kwa ugaidi.
Hata Mbowe alitusaliti wapenda mabadiriko,alipomuzia nafasi ya kugombea urais Lowassa, Wapinzani wote hapa Nchini ni njaa Kali,aliisha wai sema Makamba akiwa Mwenyekiti wa chama' Ccm'kuwa ukitaka kuona mpinzani wa kweli Tanzania penyeza rupia,tuliyaona 2015 wakina Lissu,Myika,Msingwa waligeuka wote wakaanza kuramba matapishi yao, baada ya kupenyezewa lupia 🤣🤣🤣Ibrahim Nguyuru Lipumba ni mganga njaa; hamna siasa hapo! Anangojea ccm wanamkatia mpunga basi anakwenda kuwasaliti wenzie. Ndio genge hilo hilo la wakina Mbatia na Zitto Kabwe. Don't trust these dudes.
Kweli kabisa mkuuHata Mbowe alitusaliti wapenda mabadiriko,alipomuzia nafasi ya kugombea urais Lowassa, Wapinzani wote hapa Nchini ni njaa Kali,aliisha wai sema Makamba akiwa Mwenyekiti wa chama' Ccm'kuwa ukitaka kuona mpinzani wa kweli Tanzania penyeza rupia,tuliyaona 2015 wakina Lissu,Myika,Msingwa waligeuka wote wakaanza kuramba matapishi yao, baada ya kupenyezewa lupia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kidume gani alikuwa na Betrii kwenye moyo akaona auwe watu wengi ili awatangulize Misery love's companyKidume hicho kilikuwa hakina mchezo kwenye kazi.