Profesa Lipumba: Viatu vya Hayati Magufuli ni special, kila mtu aliufyata

Kuna muda najiuliza hivi prof Ni mwanaume kweli!?, mzee anatabia za kike kweli huyu.
 
Porapesa Lipumbu aufyate tuu kwani zama za kupewa mshiko kuiua CUF hairudi tena mlipaji Kesha kufa
 
Lipumba ni mkweli sana
 
Kuna muda najiuliza hivi prof Ni mwanaume kweli!?, mzee anatabia za kike kweli huyu.
Lipumba ni mwanaume ila bunduki yake haina risasi. Hana mtoto wa kuzaa ila alioa mke wa mtu mwenye mtoto wake.
 
Kama mtu anajua mwanye na amewahi kumuona popote aje hapa akanushe. Mke wake alikuwa ni mke wa Mhaya mmoja maarufu miaka ya 1990s akiitwa Kweyemba
Ya kweli haya?
 
Kama mtu anajua mwanye na amewahi kumuona popote aje hapa akanushe. Mke wake alikuwa ni mke wa Mhaya mmoja maarufu miaka ya 1990s akiitwa Kweyemba
Duh
 
Hadi mwizi wa magari alikimbia nchi
 
Ujinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…