Profesa Mkenda, hivi mmeshindwa kabisa kufikiri nini tatizo la elimu yetu hadi mnadhani ni kiingereza tu?

Profesa Mkenda, hivi mmeshindwa kabisa kufikiri nini tatizo la elimu yetu hadi mnadhani ni kiingereza tu?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kwanza napenda kukupongeza wewe binafsi kwa kuwa nakuona unajitahidi sana kujaribu kuleta suluhu kwenye suala la ubora wa elimu yetu.Hata hivyo jitihada zako pamoja na washauri wako bado hamjaweza kutatua kiini cha tatizo ambalo kimsingi sisi wadau wengine tunaliona.

Mimi sina elimu kubwa lakini nitajaribu kuongea vitu vichache kwa mifano halafu ninyi wabobezi na maguru mjaribu kuyaweka katika muktadha wa kisomi.

Wanafunzi wengi wanafeli kwa kuwa kuna vitu havileti mvuto kwa vile hata ukivijua havina mantiki wala msaada wowote kwenye maarifa (skills)

Mfano unamfundisha mtoto kuandika hatua tano za kuendesha baiskeli. Unamuuliza kwenye mtihani akuekeze hatua hizo tano.

Majibu uliyo nayo kuna watu waliandika na kwa hiyo unamkaririsha mtoto ajibu kama walivyofikiri wengine.

Mtoto huyu ambaye kila siku anakuja shuleni akiendesha baiskeli,anashindwa kujieleza hizo hatua unazotaka aziandike kwa mujibu wa majibu uliyonayo,wewe unasema hana akili ila yeye anajua kuendesha baiskeli pasipo kusoma hizo nadharia zako.

Au una mwanafunzi unataka ajue kushona nguo kwa kutumia cherehani,unachukua miaka miwili unamfundisha hesabu za maumbo,unamfundisha fizikia ya cherehani,kisha unampima kwa hayo ukitaka upate fundi wa ushonaji mahiri.

Hii ni kupoteza muda kwani kujua fizikia ya cherehani sio jukumu la msingi la fundi wa ushonaji ingawa sio vibaya kujua.

Au kujua fizikia ya baiskeli, na kwa nini mwendeshaji ana balance kwenye tairi mbili,sijui akienda spidi kubwa balansi inakuwa thabiti au akienda spidi ndogo anatumia nishaji ( energy) kubwa ama ndogo hivi vitu sio vya msingi kwa mwendesha baiskeli.

Elimu inapsawa kuchuja nini cha kusoma kwa lengo gani.

Elimu yetu ilivyo ya kijinga,ni kama unamuona mchezaji kama Messi amecheza mpira kwa umahiri sana,kisha akaandika kitabu jinsi ya kucheza mpira vizuri ,sisi tunatumia muda mwingi kwenye nadharia ya jinsi ya kucheza mpira vizuri halafu tunatarajia mtoto aliyepata alama nyingi, acheze kama Messi.

Huu ni zaidi ya upumbavu. ( Shukrani Messi hajaandika kitabu) maana watoto wetu wangehenyeshwa na nadharia za hizo ili Wawe wachezaji bora.Kumbe tunaandaa wachambuzi wa soka badala ya wachezaji wa mpira.

Elimu yetu kwa kiasi kikubwa inaandaa wachambuzi wa maarifa na sio watendaji wa maarifa.

Katika nyanja nyingi tuna wachambuzi wa taaluma badala ya wataalamu.

Wamekariri majibu kuhusu taaluma zao lakini hawana uwezo wa kuyatumia hayo katika uhalisia.

Ni sawa na mtu ana uwezo wa kuelezea mpira,sijui "alipiga balistic misile moja,ile inaitwa grass cuttered,semi bending spinning ball" chuma kikala waya.

Kwa hii nchi huyu anaweza kuchaguliwa timu ya taifa ijapo anajua nadharia tu.

Nakuomba waziri utoe wito,mambo ya kijinga yaondolewe kwenye elimu kuanzia kindergarten mpaka chuo kikuu.Yapo mengi sana tena yanakwamisha wakati mwingine mtu kumaliza masomo yake.

Hivi hatuwezi kufikiri kabisa jamani ama ni nani aliyeturoga?
 
Tulipokosea pakubwa ni pale tulipoipa sasa thamani kubwa kuliko taaluma na weledi
 
Nikisikia nitasahau

Nikiona nitakumbuka

Nikifanya nitaelewa

CONFUCIOUS
 
Mimi sina elimu kubwa lakini nitajaribu kuongea vitu vichache kwa mifano halafu ninyi wabobezi na maguru mjaribu kuyaweka katika muktadha wa kisomi.
Sio suala la kufikiri, ni suala la kitafiti. Kwa kuwa umekiri kwamba wewe hauna elimu, basi wenye elimu kubwa wamefanya utafiti na kuja na uamuzi huo.
 
Kwanza napenda kukupongeza wewe binafsi kwa kuwa nakuona unajitahidi sana kujaribu kuleta suluhu kwenye suala la ubora wa elimu yetu.Hata hivyo jitihada zako pamoja na washauri wako bado hamjaweza kutatua kiini cha tatizo ambalo kimsingi sisi wadau wengine tunaliona.

Mimi sina elimu kubwa lakini nitajaribu kuongea vitu vichache kwa mifano halafu ninyi wabobezi na maguru mjaribu kuyaweka katika muktadha wa kisomi.

Wanafunzi wengi wanafeli kwa kuwa kuna vitu havileti mvuto kwa vile hata ukivijua havina mantiki wala msaada wowote kwenye maarifa (skills)

Mfano unamfundisha mtoto kuandika hatua tano za kuendesha baiskeli. Unamuuliza kwenye mtihani akuekeze hatua hizo tano.

Majibu uliyo nayo kuna watu waliandika na kwa hiyo unamkaririsha mtoto ajibu kama walivyofikiri wengine.

Mtoto huyu ambaye kila siku anakuja shuleni akiendesha baiskeli,anashindwa kujieleza hizo hatua unazotaka aziandike kwa mujibu wa majibu uliyonayo,wewe unasema hana akili ila yeye anajua kuendesha baiskeli pasipo kusoma hizo nadharia zako.

Au una mwanafunzi unataka ajue kushona nguo kwa kutumia cherehani,unachukua miaka miwili unamfundisha hesabu za maumbo,unamfundisha fizikia ya cherehani,kisha unampima kwa hayo ukitaka upate fundi wa ushonaji mahiri.

Hii ni kupoteza muda kwani kujua fizikia ya cherehani sio jukumu la msingi la fundi wa ushonaji ingawa sio vibaya kujua.

Au kujua fizikia ya baiskeli, na kwa nini mwendeshaji ana balance kwenye tairi mbili,sijui akienda spidi kubwa balansi inakuwa thabiti au akienda spidi ndogo anatumia nishaji ( energy) kubwa ama ndogo hivi vitu sio vya msingi kwa mwendesha baiskeli.

Elimu inapsawa kuchuja nini cha kusoma kwa lengo gani.

Elimu yetu ilivyo ya kijinga,ni kama unamuona mchezaji kama Messi amecheza mpira kwa umahiri sana,kisha akaandika kitabu jinsi ya kucheza mpira vizuri ,sisi tunatumia muda mwingi kwenye nadharia ya jinsi ya kucheza mpira vizuri halafu tunatarajia mtoto aliyepata alama nyingi, acheze kama Messi.

Huu ni zaidi ya upumbavu. ( Shukrani Messi hajaandika kitabu) maana watoto wetu wangehenyeshwa na nadharia za hizo ili Wawe wachezaji bora.Kumbe tunaandaa wachambuzi wa soka badala ya wachezaji wa mpira.

Elimu yetu kwa kiasi kikubwa inaandaa wachambuzi wa maarifa na sio watendaji wa maarifa.

Katika nyanja nyingi tuna wachambuzi wa taaluma badala ya wataalamu.

Wamekariri majibu kuhusu taaluma zao lakini hawana uwezo wa kuyatumia hayo katika uhalisia.

Ni sawa na mtu ana uwezo wa kuelezea mpira,sijui "alipiga balistic misile moja,ile inaitwa grass cuttered,semi bending spinning ball" chuma kikala waya.

Kwa hii nchi huyu anaweza kuchaguliwa timu ya taifa ijapo anajua nadharia tu.

Nakuomba waziri utoe wito,mambo ya kijinga yaondolewe kwenye elimu kuanzia kindergarten mpaka chuo kikuu.Yapo mengi sana tena yanakwamisha wakati mwingine mtu kumaliza masomo yake.

Hivi hatuwezi kufikiri kabisa jamani ama ni nani aliyeturoga?
mtihani wa darasa la nne na saba wa mwaka uliopita, umeonyesha watoto waliosoma english medium, majority wamepata A na B, ila watoto shule za kayumba aliyejitahidi sana amepata C, yaani huyo ndiye kipanga na kwa masomo wa nayofundishwa kwa lugha mama ya kiswahili. mitihani ile ya watoto wa english medium mingi hata ukienda mtandaoni ni ile ile watoto wa kenye na nchi zingine wanaanya, pastpapers za wakenya na nchi zingine na hata vitabu, ikimaanisha ukichukua mtoto wa kenya na watz wakafanya mtihani mmoja wa darasa la nne, wote wana uelewa sawa na watapata sawa kwa sababu ndiyo waliyokuwa wanafanya hata mazoezi ya kujiandaa na mitihani. hapa mchawi nani sasa? na ile mitihani ya darasa la nne hadi la saba english medium mengine wanafundisha ndio yale yanafundishwa shule za sekondary hadi form two na three. mtoto wa darasa la nne leo anaweza kuchora elimentary canal, heart na kidney na kuleble bile shida na kujua mfumo wote wa chakula, wakati wa kayumba icho atakikuta sekondari. mchawi nani sasa?

English medium zote wamiliki wake wapo serious sana kuwabana waaalimu, mwalimu lazima afundishe na afaulishe, wakati huko kayumba mwalimu afundishe asifundishe atajua hakuna wa kumwadibisha, wanaishia kuwapa watoto vidumu na mifagio wafagie shule na nyumba za walimu na vijijini hadi wanalima na kuvuna mashamba ya waaalimu. mtoto wa english medium anarudi na homework kile sikiu na asipofanya atakona cha mtemakuni, wanafanyishwa mitihani ya kikanda, wanakula chakula kizuri shuleni, wanalazimika kwenda na vitabu vyote vinavyohitajika, wakati wale wa kule hakika wanajipambania wenyewe. ukweli ni kwamba, iwe english medium au swahili, mchawi hapa ni waalimu, hawapo serious kufundisha. kama wangefundisha, mfumo wa elimu yetu wala sio mbaya kihivyo. mbona waalimu wa kikenya wanaofundisha Tanzania wanajituma sana? ukienda maeneo kama DSM na pembezoni mwa nchi (kagera waalimu wa uganda rundo, moshi arusha kule kiingereza ni kitu cha kawaida though wakenya wamesambaa kule hadi singida, na waganga, ukienda mwanza waganda na wakenya waalimu kibao, mbeya hadi kuna wakenya wameanzisha shule wengine waalimu, dsm wakenya kibao na wabongo wanaojua kiingereza vizuri tu wengi), sasa utasema nini?
 
Muelewe meta
mtihani wa darasa la nne na saba wa mwaka uliopita, umeonyesha watoto waliosoma english medium, majority wamepata A na B, ila watoto shule za kayumba aliyejitahidi sana amepata C, yaani huyo ndiye kipanga na kwa masomo wa nayofundishwa kwa lugha mama ya kiswahili. mitihani ile ya watoto wa english medium mingi hata ukienda mtandaoni ni ile ile watoto wa kenye na nchi zingine wanaanya, pastpapers za wakenya na nchi zingine na hata vitabu, ikimaanisha ukichukua mtoto wa kenya na watz wakafanya mtihani mmoja wa darasa la nne, wote wana uelewa sawa na watapata sawa kwa sababu ndiyo waliyokuwa wanafanya hata mazoezi ya kujiandaa na mitihani. hapa mchawi nani sasa? na ile mitihani ya darasa la nne hadi la saba english medium mengine wanafundisha ndio yale yanafundishwa shule za sekondary hadi form two na three. mtoto wa darasa la nne leo anaweza kuchora elimentary canal, heart na kidney na kuleble bile shida na kujua mfumo wote wa chakula, wakati wa kayumba icho atakikuta sekondari. mchawi nani sasa?

English medium zote wamiliki wake wapo serious sana kuwabana waaalimu, mwalimu lazima afundishe na afaulishe, wakati huko kayumba mwalimu afundishe asifundishe atajua hakuna wa kumwadibisha, wanaishia kuwapa watoto vidumu na mifagio wafagie shule na nyumba za walimu na vijijini hadi wanalima na kuvuna mashamba ya waaalimu. mtoto wa english medium anarudi na homework kile sikiu na asipofanya atakona cha mtemakuni, wanafanyishwa mitihani ya kikanda, wanakula chakula kizuri shuleni, wanalazimika kwenda na vitabu vyote vinavyohitajika, wakati wale wa kule hakika wanajipambania wenyewe. ukweli ni kwamba, iwe english medium au swahili, mchawi hapa ni waalimu, hawapo serious kufundisha. kama wangefundisha, mfumo wa elimu yetu wala sio mbaya kihivyo. mbona waalimu wa kikenya wanaofundisha Tanzania wanajituma sana? ukienda maeneo kama DSM na pembezoni mwa nchi (kagera waalimu wa uganda rundo, moshi arusha kule kiingereza ni kitu cha kawaida though wakenya wamesambaa kule hadi singida, na waganga, ukienda mwanza waganda na wakenya waalimu kibao, mbeya hadi kuna wakenya wameanzisha shule wengine waalimu, dsm wakenya kibao na wabongo wanaojua kiingereza vizuri tu wengi), sasa utasema nini?

mtihani wa darasa la nne na saba wa mwaka uliopita, umeonyesha watoto waliosoma english medium, majority wamepata A na B, ila watoto shule za kayumba aliyejitahidi sana amepata C, yaani huyo ndiye kipanga na kwa masomo wa nayofundishwa kwa lugha mama ya kiswahili. mitihani ile ya watoto wa english medium mingi hata ukienda mtandaoni ni ile ile watoto wa kenye na nchi zingine wanaanya, pastpapers za wakenya na nchi zingine na hata vitabu, ikimaanisha ukichukua mtoto wa kenya na watz wakafanya mtihani mmoja wa darasa la nne, wote wana uelewa sawa na watapata sawa kwa sababu ndiyo waliyokuwa wanafanya hata mazoezi ya kujiandaa na mitihani. hapa mchawi nani sasa? na ile mitihani ya darasa la nne hadi la saba english medium mengine wanafundisha ndio yale yanafundishwa shule za sekondary hadi form two na three. mtoto wa darasa la nne leo anaweza kuchora elimentary canal, heart na kidney na kuleble bile shida na kujua mfumo wote wa chakula, wakati wa kayumba icho atakikuta sekondari. mchawi nani sasa?

English medium zote wamiliki wake wapo serious sana kuwabana waaalimu, mwalimu lazima afundishe na afaulishe, wakati huko kayumba mwalimu afundishe asifundishe atajua hakuna wa kumwadibisha, wanaishia kuwapa watoto vidumu na mifagio wafagie shule na nyumba za walimu na vijijini hadi wanalima na kuvuna mashamba ya waaalimu. mtoto wa english medium anarudi na homework kile sikiu na asipofanya atakona cha mtemakuni, wanafanyishwa mitihani ya kikanda, wanakula chakula kizuri shuleni, wanalazimika kwenda na vitabu vyote vinavyohitajika, wakati wale wa kule hakika wanajipambania wenyewe. ukweli ni kwamba, iwe english medium au swahili, mchawi hapa ni waalimu, hawapo serious kufundisha. kama wangefundisha, mfumo wa elimu yetu wala sio mbaya kihivyo. mbona waalimu wa kikenya wanaofundisha Tanzania wanajituma sana? ukienda maeneo kama DSM na pembezoni mwa nchi (kagera waalimu wa uganda rundo, moshi arusha kule kiingereza ni kitu cha kawaida though wakenya wamesambaa kule hadi singida, na waganga, ukienda mwanza waganda na wakenya waalimu kibao, mbeya hadi kuna wakenya wameanzisha shule wengine waalimu, dsm wakenya kibao na wabongo wanaojua kiingereza vizuri tu wengi), sasa utasema nini?
Nadhan hujamwelewa mleta mada......hazungumzii LUGHA Hasaaa bali CONTENTS.....wanazopata wanafunzi na zinavyowajenga au kubomoa future zao/talanta zao za asili..........kuelimika au kuwa mbunifu au kutumia akil vzur si suala la lugha pekee
 
Ni sawa na mtu ana uwezo wa kuelezea mpira,sijui "alipiga balistic misile moja,ile inaitwa grass cuttered,semi bending spinning ball" chuma kikala waya.
Yan ukisikiliza wachambuzi wa mpira na terminology zao za kukariri ndo utafahamu kuwa nchi hii inamambumbumbu wengi sana…

Yan mpaka radha halisi ya kusikiliza uchambizi inapotea…
 
Back
Top Bottom