Mbunge wa Rombo Mkoani Kilimanjaro ambae pia ni Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameendelea na ziara yake yakufanya Mikutano ya hadhara ili kusikiliza kero za wananchi pamoja nakuwaeleza yale ambayo yamefanyika katika Jimbo hilo kwa kipindi cha miaka minne tangu awe Mbunge.
Katika ziara hiyo Prof. Mkenda amefanya Mkutano wa hadhara katika Kata ya Keni Aleni ambapo amesema kuwa Serikali inaendelea na uboreshaji wa miundombinu katika Shule zote Chakavu kati wilaya hiyo.
Nachukia hata kusikia Hilo jina mkenda mungu anakuona mna uhakika wa watoto wenu kuishi vizuri kula vizuri usafiri mzuri sisi akina gwimile acha tupambane na Hali zetu