salimtevez
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 186
- 16
Naomba kuwasilisha wadau. Sababu
-Elimu yake haina mashaka
-Uzalendo wake hauna mashaka
-Tumekuwanae wananchi akitupa elimu ya katiba tangu 2010 (Kupitia Makongamano ya katiba UDSM) n.k
-Mwalimu wake Lissu
Mwenye kuniunga mkono aongezee
Sitta ninautata kwenye UZALENDO wake, kwa sababu!!!
-Elimu yake haina mashaka
-Uzalendo wake hauna mashaka
-Tumekuwanae wananchi akitupa elimu ya katiba tangu 2010 (Kupitia Makongamano ya katiba UDSM) n.k
-Mwalimu wake Lissu
Mwenye kuniunga mkono aongezee
Sitta ninautata kwenye UZALENDO wake, kwa sababu!!!