salimtevez
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 186
- 16
Naomba kuwasilisha wadau. Sababu
-Elimu yake haina mashaka
-Uzalendo wake hauna mashaka
-Tumekuwanae wananchi akitupa elimu ya katiba tangu 2010 (Kupitia Makongamano ya katiba UDSM) n.k
-Mwalimu wake Lissu
Mwenye kuniunga mkono aongezee
Sitta ninautata kwenye UZALENDO wake, kwa sababu!!!
Katiba mpya haitambui wasia wala warabu. Ndio maana hakuna mwakilishi wao.
Tunate ngeneza only black katiba shivji wa kazi gani
Katiba mpya haitambui wasia wala warabu. Ndio maana hakuna mwakilishi wao.
Tunate ngeneza only black katiba shivji wa kazi gani