atashitakiwa kwa money laundering kama hiyo 1.6b itathibitika kuwa lilikuwa ni zao la kilalifu, yaani ilipatikana kutoka kwenye jambo la kihalifu na yeye wakati anaipokea alijua imetokea kwenye uhalifu...kupokea tu/possession as long as you have knowledge hata kama haujaitaktisha bado...inatosha, mfano wizi, madawa,rushwa,n.k (yameorodheshwa kwenye sheria kama predicate offences). lakini kama hiyo hela aliipata toka kwa rafiki yake rugemalila kama zawadi tu, ina maana hiyo hela sio zao la uhalifu(proceed of crime) hivyo hawezi kushitakiwa kwa money laundering. money laundering ni utakatishaji wa fedha iliyopatikana kiuhalifu ili iingie kwenye mfumo msafi ionekane nayo ni safi....yaani unaficha ule uchafu ili pesa ionekana safi kwa kuitakatishia kwenye vitu visafi ili pesa chafu nayo ijifiche kwenye usafi ionekane kama ilitokana na usafi kumbe sio.
kwa hapa maza prof tumeshamkosa kwasababu hela hiyo alipewa zawadi kwaajili ya shule na rugemalila na rugemalila aliipata kihalali na alilipa kodi. labda kama hela hiyo angekuwa ameipata toka kwa mhindi aliyekuwa amekwepa kodi na hapohapo lazima iwepo knowledge ya maza prof kuwa hela hiyo ni proceed of crime. wabunge wanahitaji shule, tatizo huwa wanajifanya wanajua kumbe mambulula.