Professa Muhongo anajisikiaje Kutumia umeme wa Bwawa la JNHPP ? Rushwa za makampuni ya gesi zilimchanganya akapinga bwawa wazi wazi

Professa Muhongo anajisikiaje Kutumia umeme wa Bwawa la JNHPP ? Rushwa za makampuni ya gesi zilimchanganya akapinga bwawa wazi wazi

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Nimekumbuka maneno ya proff mwenye mbwembwe kuhusu bwawa .

Watu Puppet kama huyu proffessor ilipaswa wasiruhusiwe kutumia umeme wa Tanesco unaotokana na bwawa . Hawa wazawa waliotumiwa na mabeberu kulikwamisha bwawa lisijengwe. Walipaswa wawe wanalala gizani tu.

China inaendelea sababu Watu kama hawa wanaosaliti nchi, china huwa wananyongwa


Screenshot_20250218-205448.png
 
Kwani wewe hujawahi kuwa na msimamo tofauti wa jambo moja kwa wakati tofauti tofauti??
Mambo hubadilika mkuu
 
Nimekumbuka maneno ya proff mwenye mbwembwe kuhusu bwawa .

Watu kama huyu proff ilipaswa wasiruhusiwe kutumia umeme wa Tanesco unaotokana na bwawa . Hawa wazawa waliotumiwa na mabeberu kulikwamisha bwawa lisijengwe. Walipaswa wawe wanalala gizani tu


View attachment 3241086
Huyu anastahili awe amenyongwa hadi kufa kabisa , alikuwa prof takataka sijawahi kuona, alisema wachimbaji wadodo wakauze juice, leo dhahabu ya wachimbaji wadogo ndo inachangia asilimia sitini na tano na imebadilisha maisha ya watu milioni saba , mbwa sana huyu mzeee
 
Huyu anastahili awe amenyongwa hadi kufa kabisa , alikuwa prof takataka sijawahi kuona, alisema wachimbaji wadodo wakauze juice, leo dhahabu ya wachimbaji wadogo ndo inachangia asilimia sitini na tano na imebadilisha maisha ya watu milioni saba , mbwa sana huyu mzeee

Professor mzima ni msaliti wa taifa lililomsomesha na kumuajiri kisa vihela vya kuhongwa kama mwanamke
 
Nchi Hii Ina maadui Wengi Wenye Nchi hii hii
Yaani Wakulisaidia Taifa ndio wanao liangusha Taifa
Wengi ni Wachumia Tumbo
 
Nchi Hii Ina maadui Wengi Wenye Nchi hii hii
Yaani Wakulisaidia Taifa ndio wanao liangusha Taifa
Wengi ni Wachumia Tumbo

Watu wakipewa rushwa ya bilioni 1. Wanakubali kuitia nchi hasara ya ma trilioni
 
Back
Top Bottom