Professional PHYSICS teacher available -A LEVEL


Hapana siyo sahihi, hapo utakuwa umetunga swali jingine. Hatufundishwi hivyo shuleni
 
Natamani hii thread ingekuwa kama group ambayo watu wanatupia maswali watu wanaysolve
 
Mpeni kijana kazi acheni kumnyanyasa bhana!.....usiwe unamsumbua tu hapa kumbe na wewe si prospective employer bali ni Mwalimu wa chakula hapo shuleni!
 
Hapana siyo sahihi, hapo utakuwa umetunga swali jingine. Hatufundishwi hivyo shuleni

Science sio ubishi au malumbano, bali ni facts zenye ukweli na zenye ushawishi kwa watu, watu tunatofautiana upeo na mtazamo, kwa njia niliyoiweka hapo ni sahihi kutokana na swali uliloliuliza. Na facts zilizopelekea kunipa majibu hayo nimekupatia. Walimu wanatofautiana, hasa linapokuja katika masomo ya sayansi. Walimu wangu wa science na Hesabu miaka hiyo wakati nipo shule za sekondari walipata kuniambia ya kuwa, swali ukikutana nalo solve the best way kwa jinsi uonavyo nature ya swali lilivyo na utoe supporting clues katika. Solution yako iliyopelekea mpaka ukapata jibu ulilopata. Na ndio nilichokifanya hapo.

Kama unaelewa unachokizungumza na ni mpenda sayansi, nikosoe mahala nilipokosea na unipe idea mpya na concept zako uonavyo wewe kuwa ni sahihi, I am ready for that.
 
Jibu lako liko sahihi kwa swali ulilo-imagine, na si kwa swali lililokuwa limeulizwa. Kwa hiyo kama ungekuwa mtihani darasani ungelalamika upewe tick, si ndiyo?
 
Jibu lako liko sahihi kwa swali ulilo-imagine, na si kwa swali lililokuwa limeulizwa. Kwa hiyo kama ungekuwa mtihani darasani ungelalamika upewe tick, si ndiyo?

Mkuu ishu sio tick wala kusahihishiwa kuwa nimepata, ishu hapa ni concept, swali sijaimagine wala kubuni, nimesolve kutokana na nature ya swali ulivyouliza. Na kwa jinsi swali ulivyoliuliza hata kama umbali wa dodoma na singida ungekuwa ni miles 1000000, jibu stil lingekewa ni 150 miles. Maana kiini cha swali kinakutaka ufikirie kuanzia saa moja kabla ya kukutana. Maana condition kuu katika swali ni kuwa magari yatakuwa umbali gani lisaa limoja kabla ya kukutana.

Jibu likiwa tofauti na 150 miles, kwa speed ya magari hayo ilivyo, ndani ya 1 hour mark either magari yatakuwa yamekwishapishana ama bado hayajakutana. Condition pekee ya magari yenye speed hiyo kukutana ndani ya lisaa limoja ni sharti magari hayo yawe 150 miles away lisaa limoja kabla ya kukutana. Kwa mtazamo wangu swali liko sahihi na jibu lipo lake ndiyo hilo.
 

Basi umepata. Kama unalo jingine linalokusumbua unaweza kunipa, au niambie nikupe jingine
 

I like your approach only for part (b) of the problem, Excellent! Je, kwa part (a), treni hizi zitapishana baada ya muda gani?
 
I like your approach only for part (b) of the problem, Excellent! Je, kwa part (a), treni hizi zitapishana baada ya muda gani?

Hapo kwenye muda wa kupishana ndipo data ya umbali baina ya destinations itahitajika. Ili kusolve, weka data ya umbali baina ya 2 destinations.
 
Hapo kwenye muda wa kupishana ndipo data ya umbali baina ya destinations itahitajika. Ili kusolve, weka data ya umbali baina ya 2 destinations.

Angalia post namba 23 ya ukurasa huu au namba 18 ya ukurasa kabla ya huu, kila kitu kipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…