specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
Natafuta mtu (watu) anayejiandaa kwa mitihani ya bodi ya manunuzi na ugavi PSPTB stage 3 kwa mwezi wa MAY 2015 ili tupeane kampani ya kutafuta notes na kusoma + ku discuss pamoja.....
---★----★----
Nipo Moshi hivyo ni vizuri na yeye akawa anatokea moshi au maeneo ya jirani na moshi....na awe SERIOUS
KARIBUNI.
Rahisi sana, fungua kwenye website yao, tafuta wale ambao list ya majina yao, namba zao na jinsi zao zipo ambao walifanya P2 ya juzi, watumie sms uwaulize. Nimetumia njia hiyo na nikafanikiwa
Hvi na mimi mniambie sifa za kufanya mitihan hiii