USED: Iko katika hari nzuri ina toa video nzuri na sauti imetulia.
BEI: Tsh. milioni 850,000 tu.
Maelezo zaidi 0763364005
View attachment 107472 View attachment 107473
USED: Iko katika hari nzuri ina toa video nzuri na sauti imetulia.
BEI: Tsh.850,000 tu.
Maelezo zaidi 0763364005
View attachment 107472 View attachment 107473
Sio mbaya na bei yake nzuri sema sasa issue iko kwenye guarantee si unajua sisi wabongo tukiona kitu kinaanza kuharibika ndio tunasukuma kisifie mikononi mwetu
Hiyo hoja ya mkuu hapo juu ya guarantee inaweza ikawa na mashiko kidogo. Wasiwasi wangu hata kama hiyo warranty itatoka ni ya mda gani
Well hakuna mtu anayekulazimisha kuamini lakini ninachokijua mashine iko vizuri inapiga mzigo hapa naporeply iko location inashoot kwaya.
..Kifaa cha Elektroniki Kilichotumika Miaka Miwili Bongo...! Ngoja Tuangalie angalie Mkuu..!
Hiyo hoja ya mkuu hapo juu ya guarantee inaweza ikawa na mashiko kidogo. Wasiwasi wangu hata kama hiyo warranty itatoka ni ya mda gani
Well hakuna mtu anayekulazimisha kuamini lakini ninachokijua mashine iko vizuri inapiga mzigo hapa naporeply iko location inashoot kwaya.
poa mkuu
NTSC Color signal