Professo Jay - Nawakilisha ( verse by Professor Jay)

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
NAWAKILISHA - PROFESSOR JAY ( VERSE) BY PROFESOR JAY

Swadata..!! Toka utotoni sauti inawika/ nami napiga goti kwa watu nakubarika/
Najenga imani kwa mashabiki wengi ma dingi/ vinapo chekechea na hata shule za msingi./

Yooh .!! Mam sapu nipoze moyo mama/ baadhi ya wanafiki naona sasa wanapana/ jina linapo kua na kashfa zinashamiri/ watu wenye hekima bado wananipa ujasiri /

Jay endelea kuifunza jamii yoh!! Natumia mifano ya kweli ndani ya fasihi / wakirisha pande zote mbeya na sumbawanga/ mwanza na kikita na Tanga na nina pepeta na twanga / natoa heshima sawa kwa professor na tahira/ vigumu kuniringajisha na mc Asie na dira / waga naona hawataki, wengine naona wana zira/ nauliza thamani ya Zidane na runyamila

Ukwaju wa kitambo

0767 542 202
 
Ni dope ila verse ya black rhino kwenye hiyo ngoma ilikua hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…