mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
kwa kile ambacho akikutarajiwa kwa mkongwe wa hip hop nchini niga j kumjibu kala pina kwa lugha ya mafumbo na kejeli kubwa. inasemekana nguli huyo wa bongo fleva amemtolea kala pina maneno ya khangani kumjibu kuhusu tuhuma za mbabe huyu wa kikosi cha mizinga kudai kwamba professor ni mzalilishaji na kama anabisha basi akawavalishe dada zake sidiria wakatoe shooting. mi naungana na pina kuhusu maadalili ya mtanzania, professor hajakubali ukweli kwa kuwa anajiona nduli ila ajue hata kala pina amesimama vizuri sana katika hip hop ya kweli. professor ametumia mitandao ya kijamii kumdhalilisha kala pina(mwanaharakat) kwa kumwagia maneno ya khangani. MTAJUA WENYEWE NA MABIFU YENU KAMA YANAONGEZA MAUZO AU LAH. MI NAPITA TU. Majani zima mziki:sleepy: