Professor J na Frank Majani wana beef zito

Majani kaishakula majani yake, povu tu linamtoka, labda aseme kama kuna jingine baina ya yeye na prof j
Ila kwa hili naona professor hajakosea.
 
majani yuko sahihi 100% bandiko la profesa lina kinyongo flani "sijalipwa hata senti 5,hela yote kalipwa majani chini ya usimamizi wenu" ikiwa na maana prof. alitaka % flani ila kwa figisu za basata ajapata hata senti zote zimeenda kwa majani (tafsiri yangu)

Na majani anajibu "nimehangaika na kesi peke yangu"leo nafanikiwa unalalama inaonesha prof. alikuwa na majani kwenye hiyo kesi (siijui) ila prof. akamnawa jamaa


NB: basata ndo mnafiq kusema prof. kapata 100m huku wakijua si kweli (ama walijua naye yumo kwenye kesi basi atapata mgao)


majibu ya prof. yana unafiq flani, sema majani yuko wida kaaamua kumchanikia bila kuficha
 
Hakuna cha beef wala nini!!Issue ipo ivi..COSOTA walisema kwamba Prof.Jay alilipwa Milioni200 za beat la nikusaidiaje lili'compoziwa na Producer Majani lililotumiwa kama sound track na Movie fulani uko Holywood..lakini kumbe Hizo pesa hakuchukua Profesa bali alipewa Majani,Alichoandika Profesa Jay ni alikua anaweka sawa kuwa pesa izo hakuchukua yeye bali alipewa Majani,Profesa Jay hakumaanisha kua anataka alipwe ila alikua anaweka sawa info walizotoa Cosota,Majani ndo hajamwelewa Profesa kwa kudhani kuwa anataka alipwe.
 
Majani amekuwa kama alikuwa anasubiri prof aseme yeye atapike
 
J kama vile anaongea kwa kinyongo cha ndani ndani..
Ila kwa nje anajifanya kama hajali.. kaweka tuu taarifa sawal

Ila jani sio la mchezo mchezo!
 
Majani kapanic, hajaelewa post ya Prof J, anawaka bila sababu.
 
Kumbe pesa sio wakat wote inamaliza matatizo, amelamba milion 100 ila bado ana stress
 
Bangi zina faida zake, zimemsaidia p funk kuona kitu Fulani ktk bandiko la prof j, kitu ambacho wengi humu hamjakiona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa hapo kwenye Kuona kitu kweli kipo maana Ukimtengenezea beat msanii je Linabaki kuwa lako na wimbo ndo wake au????? Sijaelewa uhalali wa Majani kumiliki lile beat au ndo mkataba upo hivyo???? By the way Prof J alikuwa anaweka kumbukumbu sawa... Kijanja..
 
Siku nitakayoenda Jamaica, nikatua Trench town au August Town ndio Nita-smoke weed.. Hii ya bongo/Africa nafikiri kuna ingredients zimezidi ama zimekosekana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…