PROFESSOR KABUDI HUJAFANYA HOME WORK YAKO VIZURI, SINGELI KWELI?

PROFESSOR KABUDI HUJAFANYA HOME WORK YAKO VIZURI, SINGELI KWELI?

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
221
Reaction score
542
Ni kweli Tanzania tunahaja ya kujitanabaisha kimuziki na kuwafanya watu wajue utambulisho wa muziki wa Tanzania. Kuna mirindimo inapaswa kuwa utambulisho wa muziki wetu ila kiukweli hapa kwa singeli haujawaza sawa sawa. Mziki inapaswa kutambuliwa ni muziki wenye mirindimo na midundo yenye staha, uchezaji wa heshima na maadili yenye kusisitiza nidhamu pia. Hivi vyote havipatikani kwenye muziki wa singeli, muziki wa singeli nafikiri ulipaswa kuwa muziki au nyimbo za unyagoni labda ila kwa midundo, mirindimo, uchezaji na hata utunzi wa Hizi nyimbo umekuja kitofauti ukiambana na kucheza uchi, kuimba matusi, mbele ya vijana wazee na watoto, nadhani huu muziki hauwezi kuwa utambulisho wa Tanzania. Kazi ya sanaa ikiwepo muziki, una kazi ya kuburudisha, kufundisha na kuonya jambo ila singeli inapoteza au inashindwa kukamilisha Hizi sifa kwa usahihi kwaiyo bado ni changamoto kuupa hadhi kubwa namna hiyo. Muziki. Muziki unaoimbwa sasa vijana wanauita bongo fleva, huu muziki una mchanganyiko wa midundo mbalimbali ya kiafrika, flow mbali zenye mchanganyiko wa vibwagizo kutoka kwenye makabila tofauti ya wananchi wa Tanzania na hata nchi nyingine kutoka Africa. Mheshimiwa Kabudi Bongo fleva ndo muziki wa Tanzania, tafuta namna sahihi ya kuweka mawazo sawa, kutana na wadau wa sanaa wakusaidie mawazo ufanye vyema ila hapa kwenye singeli "you didn't do your homework well"
 
Ni kweli Tanzania tunahaja ya kujitanabaisha kimuziki na kuwafanya watu wajue utambulisho wa muziki wa Tanzania. Kuna mirindimo inapaswa kuwa utambulisho wa muziki wetu ila kiukweli hapa kwa singeli haujawaza sawa sawa. Mziki inapaswa kutambuliwa ni muziki wenye mirindimo na midundo yenye staha, uchezaji wa heshima na maadili yenye kusisitiza nidhamu pia. Hivi vyote havipatikani kwenye muziki wa singeli, muziki wa singeli nafikiri ulipaswa kuwa muziki au nyimbo za unyagoni labda ila kwa midundo, mirindimo, uchezaji na hata utunzi wa Hizi nyimbo umekuja kitofauti ukiambana na kucheza uchi, kuimba matusi, mbele ya vijana wazee na watoto, nadhani huu muziki hauwezi kuwa utambulisho wa Tanzania. Kazi ya sanaa ikiwepo muziki, una kazi ya kuburudisha, kufundisha na kuonya jambo ila singeli inapoteza au inashindwa kukamilisha Hizi sifa kwa usahihi kwaiyo bado ni changamoto kuupa hadhi kubwa namna hiyo. Muziki. Muziki unaoimbwa sasa vijana wanauita bongo fleva, huu muziki una mchanganyiko wa midundo mbalimbali ya kiafrika, flow mbali zenye mchanganyiko wa vibwagizo kutoka kwenye makabila tofauti ya wananchi wa Tanzania na hata nchi nyingine kutoka Africa. Mheshimiwa Kabudi Bongo fleva ndo muziki wa Tanzania, tafuta namna sahihi ya kuweka mawazo sawa, kutana na wadau wa sanaa wakusaidie mawazo ufanye vyema ila hapa kwenye singeli "you didn't do your homework well"
Hivi mtu aliyekwenda Madagascar na ndege tupu inayogharamiwa na wananchi maskini na kurudi na ndege imejaa mizizi na mitishamba eti dawa ya COVID halafu leo hii anazungumza kufanya singeli kuwa kitambulisho cha utaifa...mimi sitashangaa kesho akiishauri serikali iweke trafic lights kwa kwa ajili ya fisi na kutoa plate number kwa kila fisi kule Simiyu.
 
Hivi mtu aliyekwenda Madagascar na ndege tupu inayogharamiwa na wananchi maskini na kurudi na ndege imejaa mizizi na mitishamba eti dawa ya COVID halafu leo hii anazungumza kufanya singeli kuwa kitambulisho cha utaifa...mimi sitashangaa kesho akiishauri serikali iweke trafic lights kwa kwa ajili ya fisi na kutoa plate number kwa kila fisi kule Simiyu.
Hatari sana, ( mume anamwambia mke akipata danga aende nalo kwa mpalange)
 
Back
Top Bottom