Professor Nabi aliyewafunga midomo wachambuzi uchwara!!

super star wa yanga ni mayele na aziz ki, hakuna timu duniani inayokuwa haina key players,lazima timu iwe nawachezaji inaowategemea....pale yanga ukimtoa mayele diarra job na bangala hakuna timu tena pale
 
super star wa yanga ni mayele na aziz ki, hakuna timu duniani inayokuwa haina key players,lazima timu iwe nawachezaji inaowategemea....pale yanga ukimtoa mayele diarra job na bangala hakuna timu tena pale
Mbumbumbu ukimtoa Chama wanaobaki ni uchafu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kombe lako wewe ni robo na nusu tu,labda mwaka huu ulichukue
Wewe ni looser tu huna kombe lolote
Ungeielewa komenti yangu,ungetafakari kabla ya hicho ulichoandika.Ina maana unabishana na CAF kuhusu ubora wa Simba au unaleta michezo tu ya mama J?
NB:Loosers=×
Losers(walipo Yanga)✓
 
Ungeielewa komenti yangu,ungetafakari kabla ya hicho ulichoandika.Ina maana unabishana na CAF kuhusu ubora wa Simba au unaleta michezo tu ya mama J?
NB:Loosers=×
Losers(walipo Yanga)✓
Asante Kwa masahihisho
Ila una kombe lolote huko CL!?
 

Attachments

  • Screenshot_20230320-043143.png
    39.4 KB · Views: 1
Litapatikana tu.Uwe mwenye subra.Hii miaka yenye tatu(3)mwisho huleta furaha kwa Simba.
Sasa mpaka litapopatikana wewe utaendelea kuwa loser
At the time being wewe unanizidi Mimi labda ni hayo makombe Yako ya robo na nusu tu
 
super star wa yanga ni mayele na aziz ki, hakuna timu duniani inayokuwa haina key players,lazima timu iwe nawachezaji inaowategemea....pale yanga ukimtoa mayele diarra job na bangala hakuna timu tena pale
Mayele
Diarra
Job
Bangala
Sasa hawa si nusu ya timu kabisa huoni kuwa unarudi palepale kwa mleta mada kuwa timu haina Star
 
Yanga hadi raha aisee napenda wachezaji jinsi walivyo na spirit,hii inamfanya kocha kuwa na room ya machaguo mengi kulingana na uhitaji wa timu katika mechi husika..

Yanga akitoka Aziz Ki akiingia Aucho ni moto,Akitoka Mayele aingie Mzize ni moto,atoke Musonda aingie Crispin Ngushi ni moto yaani yeyote atakayefanyiwa sub ujue atakayeingia nae atakuwa moto..Sasa pale kwa majirani kocha ukijifanya mjuaji umtoe Chama tu mechi ikiisha utakuta umeshaandaliwa tiketi ya ndege urudi kwenu😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…