Professor Nabi aliyewafunga midomo wachambuzi uchwara!!

Mangungu siku aliyo mtambulisha kocha wenu moja ya goal aliyompa ni kumfunga Yanga,so Yanga hawezi kutoka ndani ya vichwa vyenu na April unagongwa tena.
 
Moja ya wachambuzi uchwara unao wazungumzia.
 
Unadhani kila anayekuwa wa kwanza darasani lazima awe rais wa nchi?
Acha kushupaza mishipa ya .... Huna ubavu wakijilinganisha na Al Ahly, Mamelod... Mchezaji wake mmoja n bajeti ya msimu mzima hapo Simba ko hebu tafuta Mambo mengine yakujilinganisha nayo.
 
KUNA LICHAWI MOJA PALE EFM LIAITWA LIKAZUMARI...YANI BAADA YA YANGA KUSHINDA JANA LEO HALIJAENDA KWENYE KIPINDI CHA MICHEZO...LIPUBAVU KABISA
 
swali langu ni simple kucheza ligi moja ni kua rivals? maelezo mengi hayana maana
 
Hutaki utafungwa, unataka utafungwa mambo ya mikakati ni ya viongozi sisi hapa ni wapiga kelele
 
Ungewahi kucheza mpira ungeelewa nguvu inayowekezwa kwa ajili ya kuikabili timu pinzani ambayo inakukaribia kwenye msimamo ila kwakuwa haujawahi kucheza hauwezi kuelewa hili
Achana nao hao mtu akishindwa hua ana tafta visingizio washa jua hawawezi kuchukua ligi na hawawezi kuifunga Yanga wameanza maneno ya kujitoa akili
 
Acha kushupaza mishipa ya .... Huna ubavu wakijilinganisha na Al Ahly, Mamelod... Mchezaji wake mmoja n bajeti ya msimu mzima hapo Simba ko hebu tafuta Mambo mengine yakujilinganisha nayo.
Jitahidi ukaze mishipa ya makakio uache ujinga.
 
Ungewahi kucheza mpira ungeelewa nguvu inayowekezwa kwa ajili ya kuikabili timu pinzani ambayo inakukaribia kwenye msimamo ila kwakuwa haujawahi kucheza hauwezi kuelewa hili
Ndiyo maana una akili hizo.Huwezi kunielewa.Mola akurehemu.
 
Ungeielewa komenti yangu,ungetafakari kabla ya hicho ulichoandika.Ina maana unabishana na CAF kuhusu ubora wa Simba au unaleta michezo tu ya mama J?
NB:Loosers=×
Losers(walipo Yanga)✓
Heshima ya timu yoyote duniani ni kubeba Kombe Wala sio kushiriki mashindano au kufika robo final au kuitwa kushiriki super cup, au kuwa kwenye rank nzuri acha ujinga wachezaji wanapambana na kuvuja jasho uwanjani lengo lao kuu kunyanyua ndoo na inabaki kwenye historia ya timu yao milele, mchezaji akisajiliwa anapitishwa kwenye makabati aone makombe waliyobeba waliomtangulia Sasa ninyi mambumbumbu sijui mtaonesha assist za Chama na ranking za CAF au mtaonesha kufika robo final mara tatu au mtaonesha kushiriki super cup? Tukiwaambia ninyi ni mambumbumbu mlioshindikana mnabisha, mnajiweka level za juu eti sawa na Al Ahly hayo ni matusi na kuunajisi mpira wa miguu[emoji28][emoji28][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo maana una akili hizo.Huwezi kunielewa.Mola akurehemu.
Unajua kwanza mola ni nani na kurehemu ni nini? Wewe haujui chechote kile kwenye mpira ulivyo mbumbumbu unadai eti kumfunga mtani sio jambo muhimu kwasasa, wakati duniani kote derby huwa inachukuliwa uzito mkubwa mno tofauti na mechi nyingine,hivi napo haujiulizi? Unaita eti mashindano ya loser ulivyo mbumbumbu umesahau goli bora la mumeo sakho alilipata kwenye mashindano hayahaya
 
Wewe loser,tulia.Unanipotezea muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…