Sisi wafanyakazi wa college of humanities and social science (udom) tunasikitika kudhulumiwa pesa zetu tulizo ambiwa na prof mwamfupe(ambaye alikuwa acting principal) tujitegemee kwa chakula wakati wa zoezi la kuwapokea first year ambazo aliahidi mara baada ya zoezi kumalizika tutarudishiwa pesa hizo.ni takribani miezi minne sasa imepita hata fununu za kurudishiwa pesa hizo hazisikiki.hivi mwamfupe ulikuwa unatudanganya ukidhani unaongea na watoto wa chekechea?kwa kweli ni nafuu ya hata prof rubagumya
Usijitoe wewe pia umemaliza udom mwaka Jana BAPA unapoongea katika hay a nawewe use unaji include ndani kama transcript mbovu nawewe umepata.pia kwa taarifa wanafunzi waliomaliza mwaka jana karibia wote washapewa heal zao kuna wengine wemgi walipewa wakati majoho wanarudisha.Wezi tupu..
Vijana wa udom wameibiwa hata matengenezo ya transcript zao mbovu na ubora wa chini kuwai kutokea duniani,
Ela walizolipia wanafunzi kufanya graduation,wakaahidiwa watarudishiwa sh. 20000 mpk leo hawajarudishiwa hapa nazungumzia wanafunzi walo graduate mwaka 2012/2013 na 2013/2014. Jumla ya wanafunzi walograduate mwaka juzi ni zaidi ya 10000, sawa na shilingi zaidi ya 1,000,000,000 Milioni. Chuo kimeiba.
Na mwaka jana ni zaidi ya 5000
sawa na zaidi ya shilingi Milioni
10,000,000.
Huu ujambazi na ufisadi ulovuka mipaka.
Kikula,Mlacha na Timu yake iache utapeli na uwizi wa pesa ya wanyonge.
Usijitoe wewe pia umemaliza udom mwaka Jana BAPA unapoongea katika hay a nawewe use unaji include ndani kama transcript mbovu nawewe umepata.pia kwa taarifa wanafunzi waliomaliza mwaka jana karibia wote washapewa heal zao kuna wengine wemgi walipewa wakati majoho wanarudisha.
Sisi wafanyakazi wa college of humanities and social science (udom) tunasikitika kudhulumiwa pesa zetu tulizo ambiwa na prof mwamfupe(ambaye alikuwa acting principal) tujitegemee kwa chakula wakati wa zoezi la kuwapokea first year ambazo aliahidi mara baada ya zoezi kumalizika tutarudishiwa pesa hizo.ni takribani miezi minne sasa imepita hata fununu za kurudishiwa pesa hizo hazisikiki.hivi mwamfupe ulikuwa unatudanganya ukidhani unaongea na watoto wa chekechea?kwa kweli ni nafuu ya hata prof rubagumya