umepiga kwenye mshono binafsi MJ ndo msanii wangu bora wa muda wote.hua napiga nyimbo zake kwenye kinanda hasa wa Earth Song naupenda sanaMuziki wa aina gani unaupenda au ni msanii gani unapenda nyimbo zake zaidi..?
Binafsi ni Michael Jackson.
nilichogundua kuna misconception kubwa sana kwenye jamii kuhusu bangi, wengi wa wanaoponda bangi hawajawahi hata kuivuta, unaweza kukuta mtu anasifia pombe na kuponda bangi, ila ni jambo la kihistoria nawaelewa, ilianzia 1923 pale serikali ya marekani ilipoharamisha bangi kutokana na pressure kubwa ya makampuni ya madawa na viwanda vya meli, zao la bangi linatoa bidhaa nyingi kiasi kwamba inatisha baadhi ya wafanyabiashara wenye viwanda vya pharmacetical kwani bangi inatoa dawa nuingi za binadamu pia mti wa bangi unatoa mbao bora zaidi kwenye uzalishaji wa meli, hivyo vita ya bangi ni ya kibiashara zaidi kuliko za kiafya, ndiomana kuna baadhi ya nchi wameamua kuhalalishaDah! Ndugu upo vizuri aisee nataka nije nitest siku moja kuonja hii kitu sijui nitafanya kituko gani..🤣
Ili ule lazima upambane[emoji1787][emoji1787] Nimezoom avatar yako aisee wacha nicheke tu mkuu..
Ooh! Kumbe nawe wamkubali mi napenda nyimbo zake nyingi ila Kuna muda unakuta naipenda moja zaidi mfano Sahivi naipenda you rock my world.umepiga kwenye mshono binafsi MJ ndo msanii wangu bora wa muda wote.hua napiga nyimbo zake kwenye kinanda hasa wa Earth Song naupenda sana
Ahsante kwa darasa mkuu muda si muda nitaonja hii kitu..😅nilichogundua kuna misconception kubwa sana kwenye jamii kuhusu bangi, wengi wa wanaoponda bangi hawajawahi hata kuivuta, unaweza kukuta mtu anasifia pombe na kuponda bangi, ila ni jambo la kihistoria nawaelewa, ilianzia 1923 pale serikali ya marekani ilipoharamisha bangi kutokana na pressure kubwa ya makampuni ya madawa na viwanda vya meli, zao la bangi linatoa bidhaa nyingi kiasi kwamba inatisha baadhi ya wafanyabiashara wenye viwanda vya pharmacetical kwani bangi inatoa dawa nuingi za binadamu pia mti wa bangi unatoa mbao bora zaidi kwenye uzalishaji wa meli, hivyo vita ya bangi ni ya kibiashara zaidi kuliko za kiafya, ndiomana kuna baadhi ya nchi wameamua kuhalalisha
😂😂😂Humu jukwaani natumia jina la Kayaman, napenda na navuta sana bangi, ninatumia profile pic ya bob marley kutokana na wimbo wake wa Kaya huwa unanihamasisha sana kuvuta bangi, mwanzo nilitamani kutumia picha ya peter tosh kutokana na wimbo wa legalize it ila nikaona acha niende na bob!
Huu mjadala upo ndugu haohao wanasayansi walishachuana sana tu,mkuu zipo signals zinarushwa zaidi ya hizo na ndio zikiangukia kwa viumbe wabaya itakuwa tabu lkn ndugu unafikiri tukae tu hivihivi tusitafute changamoto..??Mleta mada haya maelezo ya profile picture yako yanatakiwa kuwa na mada inayojitegemea, maana nimepata mkanganyiko kidogo iwapo huo ramani iliangukia kwenye viumbe visivyo vyema na tumeshawaelekeza si wanaweza kutumaliza!
Kwamba sisi ndio tunahaja nao sana kuliko wao!
Kwa nini wao wasitume vyombo vyao kuja kwetu kuelekeze uwepo wao, au ni kiherere cha binadamu!
Hahahaha [emoji1787][emoji1787]Ujumbe tumeona mama tushindwe sisi..