Profile picture yako ina maana gani?

Nimefuatilia kwa muda kidogo mambo haya na harakati za binadamu kwa mambo ya anga kwa bahati mbaya hii bado sikuwahi kuliona! Asante ndugu yangu umenipa hamasa ya kufatilia kila engo.

Ila nimefurahi kujua mwanadamu huwa ni mtu wa kutafuta changamoto hapendi kuwa na amani yaani, inastaajabisha kwa kweli!
 
Haha! Mkuu sisi hatuna hulka ya kutulia sio kwamba hatupendi amani tunapenda Sana na ndio maana hata hapa duniani tunamantain amani japo si sehemu zote ila kwa wingi ipo,amani inatengenezwa tu.

Mkuu hivi unafikiri hata wewe ukiwa na hela hakuna kitu beunashindwa nunua tena unanunua hata kabla hakijatoka we ushaweka order!. Maisha ya hivi kila kitu unakipata kwa urahisi basi utaanza kutafuta changamoto kutumia pesa yako hiyohiyo aidha kushindana na wenye pesa wenzako ktk kufanya kitu fulani!. Ndo tupo hivyo mkuu.

Karibu Tena kwenye ulimwengu wa sayansi anga kinachoniuzi ktk huu ulimwengu anga vitu vipya kugundulika huchukua muda sana leo inakuja taarifa hii hapo mtasugua mpk kupata taarifa ya kukiki kabisa!.
Ni hulka yetu ku explore ulimwengu angalia hata historia wazungu walivyofika ktk bara letu wakajua kuwa Kuna watu wa race nyeusi na sisi tukapata kuwajua.. ni stori yenye benefit na negative effects pia!. Hatutakiwi kuogopa tusubirie mpk hao jamaa waje watatutafuna humuhumu bora tutambae hata tuhamishie vizazi vyetu ktk sayari nyengine ikibidi.

Linapokuja swala la haya Mambo sichoki kuandika mpk nijilazimishe kuacha..😂
I still typing kichwani kwangu..🤣
 
Time to have Kaya now,,,kaya...kayaaa!!!

Hicho kinyimbo kinanibambaga sana katika records za Bob Marley!
 
Me mkulima na zao lililonitoa ni Pilipili hoho , nilizoea pilipili hoho za rangi ya kijani wakati fulani nilienda kutembea Dodoma nikiwa na marafiki zangu, kulikua na supermarket ikabidi tuingie kuosha macho kidogo palikua pakubwa sana ! Na ndo mara ya kwanza kuona hoho za rangi ya njano na nyekundu zilikua packed !! Nikasema hizi lazima nizilime ile kuingia mtandaoni kupata ABC nikakutana na hiyo picha ,Na ndo imekua profile pic yangu hadi leo !
 
So wazilima bado..?
 
Mimi natumia picha ya Chifu Mbelwa wa Tanga alieingia mkataba na mwakilishi wa Ujerumani kumpa sehemu ya Tanganyika 1884
 
avatar ni ya Lupe Fiasco rapper kutoka Chicago, nilianza kumsikikiliza 2007na nilipenda album yake ya " the Cool" ilikuwa na single kama super star, hip hop saved my life, paris tokyo,dumb it down .
Pia aliwahi shirikishwa na Kanye West kabla hata Lupe hajawa maarufu ktk single touch the sky.Lupe ni anaweza kuandika lyrics kwa umahiri ,hii imechangiwa na tabia yake ya kupenda kusoma sana literature tangu akiwa mdogo pia anajua freestyle.
Kifupi namkubali Lupe Fiasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…