Program Alert:Mwanakijiji alonga na Star TV "Live" juu ya Busanda

Program Alert:Mwanakijiji alonga na Star TV "Live" juu ya Busanda

Status
Not open for further replies.

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Nasikia kesho kuna mgeni muhimu kwenye kipindi hicho cha "Tuongee Asubuhi" ambacho kinarushwa saa 1:30 asubuhi. Mgeni huyo aliyeko Tanzania na mwanasiasa wa siku nyingi nasikia ataunguruma kwenye kipindi hicho na nimeomba mtu akiweza anirekodie na mimi nisije kumiss. Kutokana na unyeti wa huyo mgeni kwa sasa jina lake nalishikilia hadi atakapotambulishwa na wenye TV wenyewe.

Kama zile za Kipepe tuhakikishe tuna "TVs"..!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Lowassa kaamua kuvunja ukimya sio? Au?
 
Damn! nilitaka kulala kesho mpaka saa nne baada ya kuamka saa 11 wiki nzima kwani bosi wangu mdosi hataki hata sekunde ipitenichelewe.
 
Nasikia kesho kuna mgeni muhimu kwenye kipindi hicho cha "Tuongee Asubuhi" ambacho kinarushwa saa 1:30 asubuhi. Mgeni huyo aliyeko Tanzania na mwanasiasa wa siku nyingi nasikia ataunguruma kwenye kipindi hicho na nimeomba mtu akiweza anirekodie na mimi nisije kumiss. Kutokana na unyeti wa huyo mgeni kwa sasa jina lake nalishikilia hadi atakapotambulishwa na wenye TV wenyewe.

Kama zile za Kipepe tuhakikishe tuna "TVs"..!
weka dau unajua kupigana na amfisadi "nyie" wanaharakati inabidi mtembeze shilingi pia...
 
Mzee na mimi nimekaa mkao wa kula.. sijui kama Invisible ataweza kurekodi au vipi? Siendi kulala hadi nisikie kilichojiri.
 
Mada inasema "Tunajifunza nini uchaguzi mdogo wa Busanda?"
 
Wageni ambao nadhani Mwanakijiji anatarajia waonekane kwenye kipindi hiki ni hawa kina Amos Makalla wa CCM Taifa na Erasto Tumbo wa CHADEMA.

Au nini zaidi? Nasikia kuna simu toka Marekani, atakuwa Mwanakijiji tuuuuu
 
Mgeni ambaye nadhani tumtarajie ni huyu wa Marekani 'mgeni wa simu'. Nasubiri kusikia mabomu yake
 
Wageni ambao nadhani Mwanakijiji anatarajia waonekane kwenye kipindi hiki ni hawa kina Amos Makalla wa CCM Taifa na Erasto Tumbo wa CHADEMA.

Au nini zaidi? Nasikia kuna simu toka Marekani, atakuwa Mwanakijiji tuuuuu

Asante kwa taarifa dada. Naomba uendelee kutu habarisha. Mh hiyo simu ngoja tusikie ata sema nini.
 
Mgeni ambaye nadhani tumtarajie ni huyu wa Marekani 'mgeni wa simu'. Nasubiri kusikia mabomu yake

Ngoja tusikie. Dah nilikua na mpango wa kulala sasa nipo full alert. This is interesting.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom