Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nasikia kesho kuna mgeni muhimu kwenye kipindi hicho cha "Tuongee Asubuhi" ambacho kinarushwa saa 1:30 asubuhi. Mgeni huyo aliyeko Tanzania na mwanasiasa wa siku nyingi nasikia ataunguruma kwenye kipindi hicho na nimeomba mtu akiweza anirekodie na mimi nisije kumiss. Kutokana na unyeti wa huyo mgeni kwa sasa jina lake nalishikilia hadi atakapotambulishwa na wenye TV wenyewe.
Kama zile za Kipepe tuhakikishe tuna "TVs"..!
Kama zile za Kipepe tuhakikishe tuna "TVs"..!
Last edited by a moderator: