Mwanakijiji anaonekana kufurahia matokeo ya Busanda kuwa walau kura zimepungua kwa CCM kitu kinachoonyesha kuna mabadiliko
Maoni ya Mwanakijiji ni kuwepo kwa chama kimoja cha kuweza kusimama kushindana na CCM badala ya utitiri wa vyama vya siasa.
Mwanakijiji anauma na kupuliza. Nimependa alivyomalizia kwa kuipaisha JamiiForums.com