Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #61
Na wewe hiyo "authority" ya kuniambia hivyo umeipata wapi?
Tuliza kitenesi hicho....
Huyo ndio Shy...anaweza kuja kama mtaalam wa hali ya juu wa IT,kisha ukadhani ni mtu wa karibu na Osama kuliko Zawahiri,then akageuka kuwa kama afisa wa ngazi za juu wa Idara ya usalama wa taifa....nadhani ni multiple personality disorder or something like that!
nilifikiri uyio mwanakijiji ameappea in person
kumbe kapiga simu...alaaa
mhhhh haya hebu mie
sorry to disappoint you.. I mentioned on air both sites Jamiiforums.com and Mwanakijiji.com! Sizishindanishi kama wengi wangependa iwe hivyo.
Umefanya jambo jema, na ni vizuri unge mfahamisha huyo mpambe wako hapo juu