mousthustle
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 314
- 197
Nina ndugu yangu katoka kijijini hakubahatika kupata elimu ya msingi naombeni msaada kama mpango wa MEMKWA bado upo?, nipo Dar es Salaam nahitaji kujua wapi anaweza kupata msaada(ajue kusoma na kuandika).
Asanteni sana
Asanteni sana