Hehehehe!
From Makambako to Mapinga with Love!
Long live JF.
Long Live Valuu.
Long live Tuk tuk!
Anaogopa akisema ataharibu uhondo.October I c... hivi ni? 😱 ... si useme Geoff
Fidel anaoa
Binamu hizi suti za nini jamani ?? tupe full info bwana sio robo nusu...nimekuwa vere enterest why?
Hii habari njema
LEO NIPO KIKAZI MKUU!......
jf mpya
mambo mapya
wapwaaz wapya
wapwaaz chipolopolo wamepotea kwenye ramani
Hehehehe!
Hiyo harusi lazima mgambo wa jiji wahusike........
hehehehe!hahaaa mpwaz nimenusa kitu hapa
wapwaz n binamuz orijoz......wapi Kaizer muzee ya red kapeti??
Naomba niwe kaimu wa JS mimi nayeye tutafanya kazi vizuri sana (historia inaonesha)
.....hahaa Biggy, sounds kinda even now eti???
sasa naweza kuwatrace
network ilipotea, kept on searching over n over!!!
mpwaz hapo tu.......ndo hujaelewa au umeingia ndani zaidi??hehehehe!
kabla hujajua kunani kunako 16/10/2010.....!unadhani bajeti ya sh ngapi itafanikisha tukio?...halafu kumkaimu js hiyo ni GIVEN
.....
mpwaaz hapo ni kiashiria cha mtu anaesoma katikati y a mistari na anakonekti dotsmpwaz hapo tu.......ndo hujaelewa au umeingia ndani zaidi??
bajeti mpwaz nipe mda kidogo niongee na mkuu wangu wa kitengo muhishimiwa JS!!
mpwaaz hapo ni kiashiria cha mtu anaesoma katikati y a mistari na anakonekti dots
sasa fanyeni bajeti haraka haraka kabla hamjajua kuna tukio gani,ili watu waanze kuchanga kabla hawajajua kunanini
mpwaz tutaambia watu tunachangisha kwa ajili ya tukio la kusafikika au kufikirika au neiza of ze abovu??
anyway tutaangalia how to go about it lakini event lazima iwepo na michango itoke!!
btw: hii likizo ya JF imekusaidia sana, siku hizi kuunga dotiz sio inshu tena kwako!!