Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
😂😂😂 Kwanini mkuu?Hivi vitu na wabongo, ni kama mbingu na ardhi.
Wabongo ni wavivu kufikiri, hawataki kuangaisha vichwa thats why😂😂😂 Kwanini mkuu?
Wabongo ni wavivu kufikiri, hawataki kuangaisha vichwa thats why😂😂😂 Kwanini mkuu?
Wabongo ni wavivu kufikiri, hawataki kuangaisha vichwa thats why
Mkuu ungepiga Kotlin ingependeza zaidiMimi najifunza Java kwasasa niko vizuri sana. Lakini pia niko vizuri sana kwenye PHP, Vanilla Javascript, na HTML5. Pia nina ujuzi wa the Bootstrap Framework. Naitumia Bootstrap kwa ajili ya kutengeneza web application zenye muonekano wa kuvutia. Kama kuna mtu mradi anishtue nifanye kazi chapchap. Pia naweza web design, na graphics design kwa kutumia figma au adobe photoshop. Pia nina ujuzi wa principle za UI/UX design.
Kama kuna mradi au kazi yoyote niko tayari kuifanya tulitumikie taifa letu.
Hii hapa CV yangu.
Ili kurahisisha usomaji kwenye suala la pesa ni bora ukaandika kwa kuweka coma (kwa maelfu)mfano 200,000Kwa habari ya gharama. Hii hapa invoice
Boss, una portfolio ambayo naweza ona kazi zako?Mimi najifunza Java kwasasa niko vizuri sana. Lakini pia niko vizuri sana kwenye PHP, Vanilla Javascript, na HTML5. Pia nina ujuzi wa the Bootstrap Framework. Naitumia Bootstrap kwa ajili ya kutengeneza web application zenye muonekano wa kuvutia. Kama kuna mtu mradi anishtue nifanye kazi chapchap. Pia naweza web design, na graphics design kwa kutumia figma au adobe photoshop. Pia nina ujuzi wa principle za UI/UX design.
Kama kuna mradi au kazi yoyote niko tayari kuifanya tulitumikie taifa letu.
Hii hapa CV yangu.
Unaongea kwa nadharia btw sidhani kama uko field.Wabongo ni wavivu kufikiri, hawataki kuangaisha vichwa thats why
Ili iweje? Kila mtu na mapenzi yake mkuu huwezi kulazimisha unachopenda wewe na mwenzio apendeMkuu ungepiga Kotlin ingependeza zaidi
Yeah ni kweli ila unajua Kotlin ni improved Java alafu huko tunapoelekea Kotlin will replace Java sema sio mbaya mkuu keep doing up.Ili iweje? Kila mtu na mapenzi yake mkuu huwezi kulazimisha unachopenda wewe na mwenzio apende
Mkuu jamaa yupo sahihi wabongo wengi wanajiita IT kwa kupiga window, kucheza na Microsoft suit alfu akisha piga html, css & JavaScript akajua na php ndio anajiona matawi ya juu kumbe ni ka junior developer bongo mifumo michache compared na wenzetu kwanza hata Kenya na Uganda wanatushinda sana kwenye issue ya technology tupo nyuma bongo a lot of people sio interested in technology na hiyo inatufanya tuwe nyuma kwenye tech kila kukicha.Unaongea kwa nadharia btw sidhani kama uko field.
Kotlin will never replace Java, or una-assume kwamba java purpose yake ni android tu ambako pia haitokuwa leo wala kesho kuwa replacedYeah ni kweli ila unajua Kotlin ni improved Java alafu huko tunapoelekea Kotlin will replace Java sema sio mbaya mkuu keep doing up.
Wapo kibao wanapiga hizi mambo mbona mkuu. Wengi sanaa tena sanaHivi vitu na wabongo, ni kama mbingu na ardhi.
Kwenye Dunia ya Sasa wajanja wana invest kwenye Kotlin unadhani sababu ni nini? Kotlin is the best choice to go with pia Kotlin ni improved Java kwahiyo why working on a latest thing usiendane na kitu kipya.Kotlin will never replace Java, or una-assume kwamba java purpose yake ni android tu ambako pia haitokuwa leo wala kesho kuwa replaced
Hao ni hawa fake IT bongo developers wapo wachache mtu hajui hata kutengeneza API anajiita developer ukitaka kuamini nnacho sema njoo na project yako mkabithi mbongo anayejibrand huku online hovyo alafu mpe uone utaishia kulizwa tuWapo kibao wanapiga hizi mambo mbona mkuu. Wengi sanaa tena sana
Java is used for high performance apps pia mtumie Java kwenye existing app ambazo zilitengenezwa na Java but otherwise Kotlin is the way to go Java is nothing to Kotlin librariesKotlin will never replace Java, or una-assume kwamba java purpose yake ni android tu ambako pia haitokuwa leo wala kesho kuwa replaced