Wadau kwa mtu aliesoma hgk/hgl na kuscore dvn 1/2 ni programs gan university anaweza soma na kuwa na uwezo wa kujiajir mwenyewe panapotokea kuchelewa kuajiriwa?
Cozi yeyote ya biashara sikuizi zina masomo ya ujasiriamali,,,,pia sheria unaweza ukawa mwanasheria wakujitegemea ,,,,alafu ualimu pia unaweza ukaanzisha tuition chumbani kwako (kama ni mjini lakini)