5up3rN0v4
New Member
- Jul 12, 2020
- 4
- 1
Wakuu, kuna mwenye update kuhusu progress ya Starlink kupata leseni ya kuoperate Tanzania?
Nimeapply fiber TTCL ipo meter 50 kutoka nilipo mwezi sasa unakata kila siku napigwa kalenda na kupewa sababu random yan.
Starlink ije, washtuke kidogo, sio fair inakuwa kama vile hatuwalipi
Wanakera
Nimeapply fiber TTCL ipo meter 50 kutoka nilipo mwezi sasa unakata kila siku napigwa kalenda na kupewa sababu random yan.
Starlink ije, washtuke kidogo, sio fair inakuwa kama vile hatuwalipi
Wanakera