Karibu sana mkuuYaap
Watu wanacheza na fursa.
Asanteni huwenda nikawatafutaa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hii kozi Ikoje kwenye soko la ajira
soko lake ni kubwa ila kwa makampuni binafsiHii kozi Ikoje kwenye soko la ajira
Sisi ni taasisi binafsi. Tunatoa huduma hizo apo juuNyie ni Nani?
Ahsante
- Chuo/Taasisi ya Elimu
- Secretarial bureau
- Washauri Elekezi
yesUnafundisha hii coz?
Tupe muongozo badi