lito saint
Member
- Aug 17, 2012
- 15
- 3
heshima kwenu wanajamiiforums! Nina ombi moja kutoka kwenu. Mimi ni mwanafunzi 2nd year katika chuo kimoja jijini dsm. Nikiwa natarajia kufanya project 3rd year naomba mnieleze jinsi ya kutengeneza project proposal nzuri na pia the elements of a good project....
Natanguliza shukrani!
ameshakwambia ump hayo mengine mtaulizana chamber sasa unataka kila kitu akuwekeee hapa hujui utaharibikiwa? ningekuwa supervisor wako ningekufuatilia mpaka hiyo paper ya kuandikiwa utapike! Manake siku hizi nasikia vijana mnaandikiwa proposal hadi dissertation kaazi kweliasante kaka gango2 naweza pata sample moja ili nijionee jinsi project proposal ilivyo?