IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 801
Hello JF, HERI YA MWAKA MPYA, 2015!!!
Tunashukuru kuwa Mungu ametuwezesha kuingia mwaka mwingine tena. Moja ya maombi ya kila mmoja ni Mungu kumfanikisha katika mipango yake.
Katika kufanikisha hilo, ni vema pia tukaendelea kutumia maarifa tuliyopewa na Mungu mwenyewe.
Tukiwa Kama Business/Project Development service providers tunaendelea kutoa maarifa yetu juu ya utayarishaji wa mapendekezo ya miradi (Project proposals) kwa miradi ya aina zote na kwa wateja wa aina zote.
Project writing inasaidia sana kuweka wazo la mradi katika mfumo unao eleweka zaidi kwa matumizi binafsi na/au hata kuwaelewesha wadau wengine wa Mradi husika, kama vile wafadhili au wabia katika uwekezaji au watoa fedha (financiers). Kwa ujumla ANDIKO hilo huwa kama NYENZO katika kutekeleza Mradi husika (katika hatua zake zote za mradi) ikifahamika kama "Resource Mobilization Tool".
HIVYO tunashauri wadau/watu wote wenye mipango ya kuanzisha, kuendeleza au kupanua miradi BASI wafikirie kuandaa Proposals husika. Proposals hizi huweza kuandikwa na Mtu anayeweza kufanya hivyo, ila vema iandikwe kitaalamu ili kukidhi matakwa ya wafadhili, kiutendaji, kisheria na kisera pia.
SISI ni mojawapo ya hao BDSP (Business Development Service Providers) wenye uwezo wa kui-develop proposal yenye viwango husika kwa malengo halisi ya mradi.
Kwakuwa hii ni Resource Mobilization Tool, sisi pia huweza kufanya Sourcing ya Grants au Rasilimali husika za kuwezesha MRADI husika, hivyo ni vema kujua wadau wa kufadhili au kutoa pesa ya mradi wana vigezo gani katika kutoa Funds za mradi husika. Sisi hufanya hiyo Service kama Option tu ya Mteja wetu ambaye amependa sisi tumwandikie proposal husika.
Maana wapo wateja ambao tayari wana fedha kiasi fulani au wanayo source ya kupata fedha hivyo huhitaji Write-up tu (sisi hufanya na kutoa maelekezo). ILA WAPO pia ambao wana wazo la mradi tu, au wanahitaji kufanya mradi ila HAWANA pesa za mradi, hivyo hulazimika kutafuta pesa za mradi kutoka vyanzo mbalimbali ambazo ni FURSA kwa mradi husika, sisi huweza kufanya servcie hiyo, kwa kumshirikisha mteja hadi upatikanaji wa pesa husika.
Karibu kwa huduma hizi na nyinginezo. Kwa mawasiliano tafadhari njoo PM
AU WASILIANA KWA SIMU 0652 65 65 65
Tunashukuru kuwa Mungu ametuwezesha kuingia mwaka mwingine tena. Moja ya maombi ya kila mmoja ni Mungu kumfanikisha katika mipango yake.
Katika kufanikisha hilo, ni vema pia tukaendelea kutumia maarifa tuliyopewa na Mungu mwenyewe.
Tukiwa Kama Business/Project Development service providers tunaendelea kutoa maarifa yetu juu ya utayarishaji wa mapendekezo ya miradi (Project proposals) kwa miradi ya aina zote na kwa wateja wa aina zote.
Project writing inasaidia sana kuweka wazo la mradi katika mfumo unao eleweka zaidi kwa matumizi binafsi na/au hata kuwaelewesha wadau wengine wa Mradi husika, kama vile wafadhili au wabia katika uwekezaji au watoa fedha (financiers). Kwa ujumla ANDIKO hilo huwa kama NYENZO katika kutekeleza Mradi husika (katika hatua zake zote za mradi) ikifahamika kama "Resource Mobilization Tool".
HIVYO tunashauri wadau/watu wote wenye mipango ya kuanzisha, kuendeleza au kupanua miradi BASI wafikirie kuandaa Proposals husika. Proposals hizi huweza kuandikwa na Mtu anayeweza kufanya hivyo, ila vema iandikwe kitaalamu ili kukidhi matakwa ya wafadhili, kiutendaji, kisheria na kisera pia.
SISI ni mojawapo ya hao BDSP (Business Development Service Providers) wenye uwezo wa kui-develop proposal yenye viwango husika kwa malengo halisi ya mradi.
Kwakuwa hii ni Resource Mobilization Tool, sisi pia huweza kufanya Sourcing ya Grants au Rasilimali husika za kuwezesha MRADI husika, hivyo ni vema kujua wadau wa kufadhili au kutoa pesa ya mradi wana vigezo gani katika kutoa Funds za mradi husika. Sisi hufanya hiyo Service kama Option tu ya Mteja wetu ambaye amependa sisi tumwandikie proposal husika.
Maana wapo wateja ambao tayari wana fedha kiasi fulani au wanayo source ya kupata fedha hivyo huhitaji Write-up tu (sisi hufanya na kutoa maelekezo). ILA WAPO pia ambao wana wazo la mradi tu, au wanahitaji kufanya mradi ila HAWANA pesa za mradi, hivyo hulazimika kutafuta pesa za mradi kutoka vyanzo mbalimbali ambazo ni FURSA kwa mradi husika, sisi huweza kufanya servcie hiyo, kwa kumshirikisha mteja hadi upatikanaji wa pesa husika.
Karibu kwa huduma hizi na nyinginezo. Kwa mawasiliano tafadhari njoo PM
AU WASILIANA KWA SIMU 0652 65 65 65