Project ya kijana amka

Joined
Apr 7, 2020
Posts
10
Reaction score
4
Kijana amka ni kikundi ambacho kina toa elimu kwa vijana kuwa na mtazamo chanya, kujiajiri, na kujikwamua kiuchumi. Kijana amka tunapatikana mkoa wa mwanza kata ya mkuyuni. Lengo letu ni kuakikisha vijana wote wanakua na mtazamo tofauti kwenye maisha kuwa weka pamoja na kutengeneza miradi yenye tija pia kutambua kipaji cha kijana moja moja

Tunaitaji wadhamini au wafadhili kwa ajiri ya kutengeneza miradi hitakayo leta tanzania ya viwanda faida ya mdhamini ataitambua pale tu atakapo kuwa tayari kutuzamini kwa maelezo zaidi no.0628181393 kijanaamkatz@gmail.com

electrical enginer kwa kazi yote ya umeme nipigie simu no.0628181393 na promote bidhaa aina zote

 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
 
Duuuh
 
Sawa,kwahiyo badala uombe ukaribishwe unaanza blablaa kabla hujaambiwa karibu?na unahakika kwnye hyo picha wote ni vjana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…