Kampuni ya ELSEWEDY ELECTRIC leo imefungua kiwanda cha vifaa vya umeme kilichopo Kisarawe, Mgeni rasmi alikuwa Mh Samia Suruhu hasani huku akijinasibu kuwa ataendelea kusafiri ili kuwaleta wawekeza na huku Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akisema kuwa yale ni matunda ya ziara yake kule Misri.
Kwanza tuelewe kampuni ya ELSEWEDY ELECTRIC mara ya kwanza ilifika Tanzania kwaajili ya ujenzi wa Bwawa la Mwal Nyerere kule Rufiji, uwekezaji uliofanywa Kisarawe haukuwa kwasababu ya hisani ya mtu fulani au ziara ya mtu fulani lakini baada ya kampuni hiyo kuona kuna fursa ya kuwekeza kiwanda kwaajili ya kuzalisha vifaa vya umeme hapahapa nchini.
August 24, 2020 Mwakilishi wa Kampuni ya kuzalisha vifaa vya umeme ya Elsewedy Electric ambaye ni Mkurugenzi Mkaazi wa Afrika Mashariki wa Kampuni hiyo injinia Ibrahim Qamar kutoka nchini Misri anayewekeza nchini Tanzania alisema kuimarika kwa Sera, Sheria na mazingira mazuri ya Uwekezaji Nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na amani na utulivu; ndio sababu kubwa zilizomfanya aje kuwekeza nchini.
Tarehe 15 March 2021 Kampuni Ya Elsewedy Iliichagua Tanzania Kama Nchi Bora Kwa Kujenga Kiwanda Cha Kuzalisha Vifaa Vya Umeme Kwenye Ukanda Wa Afrika Mashariki Na Kati
Kuna mambo ukisikiliza unaona hadi anayesifiwa ni mjinga, yaani Rais unasifiwa ziara uliyofanya last month imewezesha kiwanda ambacho ujenzi wake umeisha hata kabla ya ziara yake
Kampuni ya ELSEWEDY ELECTRIC leo imefungua kiwanda cha vifaa vya umeme kilichopo Kisarawe, Mgeni rasmi alikuwa Mh Samia Suruhu hasani huku akijinasibu kuwa ataendelea kusafiri ili kuwaleta wawekeza na huku Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akisema kuwa yale ni matunda ya ziara yake kule Misri.
Siwezi kuzungumzia kauli ya Samia huko Kisarawe kwa sababu sijamsikia lakini SSH huyo huyo alipoenda Misri alikutana na CEO wa Elsewedy kuhusu ujenzi wa Kigamboni Industrial Park, ambako Elsewedy walitangaza kuwekeza zaidi ya Sh 450 Billion kwenye huo ujenzi. Kwa wafuatiliaji, JPM aliponda sana kuhusu Kigamboni Industrial Park kwa madai kuna ufisadi mkubwa umefanyika!!
I doubt kama SSH alikuwa anazungumzia hicho kiwanda cha vifaa vya umeme kwa sababu hicho ujenzi wake ni wa tangu zamani, na kama kuna event yoyote imefanyika basi itakuwa ni ya kuzindua tu!! And as far as I know, hakipo Kisarawe bali Kigamboni
Mkumbuke watazamaji wa tv inayorusha mubashara ni hao hao wakisikia jambo wanatembea nalo, ndiyo maana viongozi wakiwa mubashara majukwaani wanaongea vitu ambavyo no doubt kwa watazamaji wao ila siyo kwa waelewa na wafuatiliaji wa mambo mitandaoni huwa awadanganyiki.
Siwezi kuzungumzia kauli ya Samia huko Kisarawe kwa sababu sijamsikia lakini SSH huyo huyo alipoenda Misri alikutana na CEO wa Elsewedy kuhusu ujenzi wa Kigamboni Industrial Park, ambako Elsewedy walitangaza kuwekeza zaidi ya Sh 450 Billion kwenye huo ujenzi. Kwa wafuatiliaji, JPM aliponda sana kuhusu Kigamboni Industrial Park kwa madai kuna ufisadi mkubwa umefanyika!!
I doubt kama SSH alikuwa anazungumzia hicho kiwanda cha vifaa vya umeme kwa sababu hicho ujenzi wake ni wa tangu zamani, na kama kuna event yoyote imefanyika basi itakuwa ni ya kuzindua tu!! And as far as I know, hakipo Kisarawe bali Kigamboni
Mkuu fungua hii Link kila kitu kilikuwa tayari mpaka huko Kigambon ilishakuwa kwenye rada yao na mwekezaji alikuja hapa nchini Tanzania akakutana na Waziri na taarifa iko kwenye website ya TIC wenyewe ni ya tarehe March 15 kabla hatujatangaziwa kifo cha Rais Magufuli.
Mkumbuke watazamaji wa tv inayorusha mubashara ni hao hao wakisikia jambo wanatembea nalo, ndiyo maana viongozi wakiwa mubashara majukwaani wanaongea vitu ambavyo no doubt kwa watazamaji wao ila siyo kwa waelewa na wafuatiliaji wa mambo mitandaoni huwa awadanganyiki.
Kuna mambo ukisikiliza unaona hadi anayesifiwa ni mjinga, yaani Rais unasifiwa ziara uliyofanya last month imewezesha kiwanda ambacho ujenzi wake umeisha hata kabla ya ziara yake, Chief Hangaya kichwani mweupe.
Mkuu fungua hii Link kila kitu kilikuwa tayari mpaka huko Kigambon ilishakuwa kwenye rada yao na mwekezaji alikuja hapa nchini Tanzania akakutana na Waziri na taarifa iko kwenye website ya TIC wenyewe ni ya tarehe March 15 kabla hatujatangaziwa kifo cha Rais Magufuli.
Hizo link hazina tofauti na ulichoeleza lakini ni tofauti na nilichoelezaa. Thread yako inazungumzia Kiwanda cha Kutengenezea Vifaa vya Umeme, na ndivyo inavyosema hiyo link, wakati mimi nimekuambia suala la Industrial Park na sio Specific Industry!! Ningekutafutia ile PR ya Ikulu lakini nadhani hata kwa taarifa hizi hapa chini zitatosha:-
President Samia Suluhu Hassan of Tanzania recently met with the Chief Executive Officer of Elsewedy Electric to discuss formalities for the proposed partnership/investment.
The $200 million will be used to construct buildings and other infrastructure at the Kigamboni Industrial Park during the first phase of the project.
The first phase of the project will commence next month and be completed in two years. Thousands of direct jobs are expected to be created.
Hiyo ni habari ambayo iliandikwa na Businesss Insider, inapatikana hapa! Baada ya hivyo vibwagizo, habari inaendelea kusema kwamba:- "Elsewedy Electric Co S.A.E, an Egyptian multinational electrical company headquartered in Cairo, has announced plans to invest $200 million in Kigamboni Industrial Park which is a large scale industrialisation project in Tanzania."