mbona mwoga hivo? unaogopa nini,above 18
hahaha!...FOR YOUR RECORDS AU VIPI!?
hahahahahahah!nimecheka sana
Sababu gani? ziweke wazi basi.afu maisha yenyewe yamekaa kijeshijeshi haina hata haja ya kwenda makutupora.Na tanzania vita yetu kubwa ni ufisadi na rushwa.nina kila sababu.umepita jeshini kweli? unazijua medani za vita?
Sababu gani? ziweke wazi basi.afu maisha yenyewe yamekaa kijeshijeshi haina hata haja ya kwenda makutupora.Na tanzania vita yetu kubwa ni ufisadi na rushwa.
nipigieeeeeeeeeeeeeeee Mpenzi nipigieeeeeeeeeeeeeeeee
Ubarikiwe kwa juhudi zako.Mungu atakulipia.UPDATES ZAIDI:
Wadau wa JF mlioko Ugaibuni: Kuna ndugu zetu wanaopenda kumchangishia huyu dogo kwenye ile zawadi yetu ya JF. sasa nimeconsult team na tumeona kwamba kwa wale walioko Ughaibuni watumie Western Union au Money Gram kuzimuvuzisha hizo uchakavu au sio. nani wa kumtumia nitaPM more details once you get back to me.
Thank you again and again and again for your cooperation. We appreciate it a lot.
Hehehehe na wewe kwa kuotea!!
Si unajua ni sh.2500 kwa sekunde ila foleni yake balaaa
UPDATES ZAIDI:
Wadau wa JF mlioko Ugaibuni: Kuna ndugu zetu wanaopenda kumchangishia huyu dogo kwenye ile zawadi yetu ya JF. sasa nimeconsult team na tumeona kwamba kwa wale walioko Ughaibuni watumie Western Union au Money Gram kuzimuvuzisha hizo uchakavu au sio. nani wa kumtumia nitaPM more details once you get back to me.
Thank you again and again and again for your cooperation. We appreciate it a lot.
Ngoja nigoogle kwanza kitu flani....lolπ
Hehehe naona kama kuna watu hawajaolewa hapa kikubwa wewe ni mhasibu waambie wakuPM
hahahahahaaaa.Haya bana.
Wamaanisha nini tena hapa?mbona wanitishaHehehe naona kama kuna watu hawajaolewa hapa kikubwa wewe ni mhasibu waambie wakuPM
JF OyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeUPDATES ZAIDI:
Wadau wa JF mlioko Ugaibuni: Kuna ndugu zetu wanaopenda kumchangishia huyu dogo kwenye ile zawadi yetu ya JF. sasa nimeconsult team na tumeona kwamba kwa wale walioko Ughaibuni watumie Western Union au Money Gram kuzimuvuzisha hizo uchakavu au sio. nani wa kumtumia nitaPM more details once you get back to me.
Thank you again and again and again for your cooperation. We appreciate it a lot.
Hahahahaaaa.piga wewe jamani!kwani umeelewa nini?haaaa. nimeelewa sasa,, hiyo sauti tu
NIPIGIE!!!!! MPZ NIPIGIEEE!
Wamaanisha nini tena hapa?mbona wanitisha
.....πHahahahaaaa.piga wewe jamani!kwani umeelewa nini?
ntakupigiaaaaaaaaaaaaaaa diaaaaaaaaaaaaaaaaa
Dah...mbona makubwa tena!π
fidel tabia yake ya kuandika huku anavizia vimwana........hapo usikute alimaanisha 'hawajaelewa"
π Big grin manake nini?