Promo:WAHUNI WAKUBWA

Promo:WAHUNI WAKUBWA

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna movie inaitwa "wahuni wakubwa"
Baadhi ya wahusika:
-One The incredible
-Mapacha wa Blac
-Makamua
-Beberu
-Makanta Crew
Nawengine sikumbuki majina yao.
Bonge moja la movie mwanangu tambaa nalo mi sio mchambuaji
IPO YouTube
Na Kuna Nyingine inakwenda kwa jina la Bongo na Fleva! Hapo Moko wa miujiza katoka zake sijui wapi akaja mjini sasa picha linaanza mshkaj alipotegemea kahama nyumba na Moko hana hata simu
Zote hizo nazipigia promo Ni za kibabe
 
Kuna movie inaitwa "wahuni wakubwa"
Baadhi ya wahusika:
-One The incredible
-Mapacha wa Blac
-Makamua
-Beberu
-Makanta Crew
Nawengine sikumbuki majina yao.
Bonge moja la movie mwanangu tambaa nalo mi sio mchambuaji
IPO YouTube
Na Kuna Nyingine inakwenda kwa jina la Bongo na Fleva! Hapo Moko wa miujiza katoka zake sijui wapi akaja mjini sasa picha linaanza mshkaj alipotegemea kahama nyumba na Moko hana hata simu
Zote hizo nazipigia promo Ni za kibabe
Hili ni bonge la movie Beberu Mwitu ndani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Daah yani kama vile romario amekutana na mdigo wazee wa mazabe ni full mng'ong'o tu ukiangalia maembe yenyewe jero tu daah hatari sana hii.

Wanamcheki kama mbwai mbwai tu maana wali-mute full kudiss mapilau nini full makachumbari,na wajanja wa bush wakina imma nteze vuzee kama kawa.

Anyway sio mbaya mbaya mbaya kabisa ikiwa chotara kuberi ndo mapinga kumekucha huku bado mawio mixture misuba for sure.
 
Daah yani kama vile romario amekutana na mdigo wazee wa mazabe ni full mng'ong'o tu ukiangalia maembe yenyewe jero tu daah hatari sana hii.

Wanamcheki kama mbwai mbwai tu maana wali-mute full kudiss mapilau nini full makachumbari,na wajanja wa bush wakina imma nteze vuzee kama kawa.

Anyway sio mbaya mbaya mbaya kabisa ikiwa chotara kuberi ndo mapinga kumekucha huku bado mawio mixture misuba for sure.
Hapa umeanza kunichanganyia habari
 
Daah yani kama vile romario amekutana na mdigo wazee wa mazabe ni full mng'ong'o tu ukiangalia maembe yenyewe jero tu daah hatari sana hii.

Wanamcheki kama mbwai mbwai tu maana wali-mute full kudiss mapilau nini full makachumbari,na wajanja wa bush wakina imma nteze vuzee kama kawa.

Anyway sio mbaya mbaya mbaya kabisa ikiwa chotara kuberi ndo mapinga kumekucha huku bado mawio mixture misuba for sure.
Nikishika maiki Wana hoji taflo vipi?tega skio skiza mdudo na panchi
Leo sigawi lunchi brekfasti wala Dina, mtakunywa tu mavina cheki bars namimina, Mama Amina ...........ko
Usimuige twiga wetoka kivakovako,
Bado naprich natich mabichi ukiwa feki nakudisi hata uwe mbishi zaiidi ya Nikki,
Au konki Kama dudu koki hii hautamudu, mi Ni Simba, nasio nasibu watandale,
Wengine wanafosi eti niende kwa Babu tale,
Nikaze vina msimamo ka afande sele,
Au niswitch Kama nay niimbe mbele kwa mbele,
Hii rap imenikamata Kama jux kwa Vanessa,
Nashangaa wananikopi haohao nawacheka,
Kwa dharau Sina hisia Na mahater,
Wanajua uwezo wangu twiga The motivator,
Sioni shega badili mapozi bikini tega, mbishi hunichenjui, bandidu Sina story navinega
 
Za kibabe
Screenshot_20190529-031713.jpeg
 
Back
Top Bottom