promotion ya vodacom kesho majanga

promotion ya vodacom kesho majanga

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Duh kama izi tetesi ni za kweli basi kazi tunayo akina kantupeni,tetesi zilizopo chini ya kapeti ni kuwa ile promotion inayotarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa na kampuni ya vodacom pale mlimani city ni kwa watu maalumu tu,yaani ukienda wewe from no where na kutaka izo simu unaambiwa zimeisha kumbe wenyewe wana watu wao wanaowauzia,kesho ntaenda kushuhudia uo mchezo kuanzia saa kumi na mbili nipo pale na team yangu halafu tuone ujinga wowote unafanyika.lazima kinuke
 
Duh kama izi tetesi ni za kweli basi kazi tunayo akina kantupeni,tetesi zilizopo chini ya kapeti ni kuwa ile promotion inayotarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa na kampuni ya vodacom pale mlimani city ni kwa watu maalumu tu,yaani ukienda wewe from no where na kutaka izo simu unaambiwa zimeisha kumbe wenyewe wana watu wao wanaowauzia,kesho ntaenda kushuhudia uo mchezo kuanzia saa kumi na mbili nipo pale na team yangu halafu tuone ujinga wowote unafanyika.lazima kinuke

mkuu zile zinauzwa pale kihalali kabisa. wewe sema hujaamin punguzo la bei kwa70% ndo maana unakuja hapa kukatisha watu tamaa wasie kununua ili ukazinunue wewe na timu yako. wasemeje zimeisha wakati simu zipo hadharani?. acha hizo bana. mia
 
mkuu zile zinauzwa pale kihalali kabisa. wewe sema hujaamin punguzo la bei kwa70% ndo maana unakuja hapa kukatisha watu tamaa wasie kununua ili ukazinunue wewe na timu yako. wasemeje zimeisha wakati simu zipo hadharani?. acha hizo bana. mia

ni 80%
 
vp smartphone pia zitakuwepo?
 
Huyu kijana mwenzetu kila siku tupo naye maskani,anakula OFA za watu anapoishi ata apajulikani,kwi kwi kwi duh jide noumaaa,,kumbe kweli maan watu wanapenda sana ofa..
 
mkuu zile zinauzwa pale kihalali kabisa. wewe sema hujaamin punguzo la bei kwa70% ndo maana unakuja hapa kukatisha watu tamaa wasie kununua ili ukazinunue wewe na timu yako. wasemeje zimeisha wakati simu zipo hadharani?. acha hizo bana. mia
Mzee wa mia ulipepesa macho,
Hakukua na kitu.
 
Yaani kulikuwa na mikiaaaaaaa balaaaa
 
Smart phone wapi, hizi mbwembwe tuu za vodacom, eti HUAWEI HUAWEI kumbe kitochi cha HUAWEI Na sio smart phone. ingawa TIGO wanazingua network lakini wamejitaidi katika kuleta smart phone kwa being nafuuuu,
 
Nani akuuzie s3 kwa laki mbili??,zile ni strategy market tu,pole yenu mliotok kibaha na morogoro kwa ajil ya expo ya voda
 
Back
Top Bottom