Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Mfano UKIMWI ulitengenezwa vipi ? Japo kwa uchache.
ulitengenezwa hivo hivo kama walivyotengeneza virusi wengine kama wa mafua ya ndege n.k...


Ukitaka kuelewa walivyotengeneza kasome VIROLOGY halafu uspecialize kwenye molecular DNA analysis ndo utajua jinsi wanavyowatengeneza ..

unataka uelewe kwa jinsi ipi au tuingie darasani ..??

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Virusi ni kiumbe hai ?
 
ndio ni kiumbe hai....vipi...??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama unakubali kirusi ni kiumbe hai basi kaa ukijua hakuna binadamu anae tengeneza kirusi mpaka kiama kina simama.

Nakusimulia kisa sasa.

Anasimulia habari hii mwanachuoni mbora huko bara la Arabu,anasema "Katika chuo kikuu fulani nchini humo kulikuwa na mwalimu ambae alikuwa ana pinga sana juu ya uwepo wa Mola mlezi,sasa siku moja katika kusomesha kwake darasani,kuna mwanafunzi akamuuliza swali je mwalimu wewe umeumbwa ? Akaseme sijaumbwa,yule mwanafunzi akamwambi mimi na wewe tumeumbwa,mwalimu akasema mimi mwenyewe nina weza kuumba. Mwalimu akaendelea kutilia mkazo katika lile ambalo analiegemea na kuliamini,akasema hivi nipe siku kadhaa nitakuletea viumbe nilio waumba.

Yule mwalimu alichukua chakula fulani akaende kukivundika baada ya zile siku kadhaa kile chakula kikaanza kutoa funza.

Kisha akaja nacho kile chakula na kuwaonyesha wale wanafunzi jinsi alivyo umba. Yule mwanafunzi akamuuliza maswali yafuatayo yule mwalimu.

Akamuuliza hivi,kama wewe kweli umeumba :

1. Nitajie katika hao wadudu kuna majike mangapi na madume wangapi ?

2. Nipe idadi ya hao wadudu ?

3. Niambie ni kiwango gani cha chakula hula wadudu hao ?

Ukweli wa mambo mwalimu yule alishindwa kujibu maswali yale.

Nakuachia ufikirie vyema kama wewe huwa unafikiria mambo kwa undani,kisha utapata jibu kwanini hakuna binadamu awezae kutengeneza virusi.

Sababu mimi ni mtu kushughulika na hali halisi na ukweli jinsi ulivyo ni kuwa wanasayansi huwa wanavipa vitu majina wala hawaumbi. Hili nalo lina mifano lukuki.

Nipo ....
 
sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo mwalimu alikuwa kilaza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Acha utafiti ulifanywa na wengine sio cho, maprofessor ana so on, nsomba ufanye utafiti wako kuanzia leo goma kula baada ya siku saba utajua mwili wa binadamu unambwa chakula. Labda unamaana nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unataka watengeneze ili iweje...?? unaijua purpose ya kuleta ukimwi kwanza kabla hujasema walete dawa. ??




Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuliza swali la kawaida kabisa kwa sababu ukimwi kila mtu anaujua na athari zake,sasa ajabu unaniuliza watengeneze dawa ya ukimwi ili iweje! Kweli?

Maana kama huu utaalamu wote tuliyonao ni kwa msaada wao na ndiyo maana nikataka kujua hapa kwenye suala la ukimwi wawamekwama wapi?

Suala la ukimwi kutengenezwa ili kupunguza watu duniani tunalisikia ila sijajua kama ni mpango wa Aliens au vp?
 
hawajashindwa kutoa dawa bana...acha kusingizia na kufuata magazeti ya udaku...umefanya utafiti ukagundua kuwa imeshindikana...??

purpose ya ukimwi ni kupunguza watu duniani...?? ndo ulivyoambiwa...??

Unaweza ukanambia kwanini trend ya population inaongezeka kwa kasi insteady ya kupungua...?? ukimwi umeplay pary ipi hapo...¿?

acheni kufuata story za magazeti bana..population trend ya watu duniani inaongezeka kwa kasi ukilinganisha na ukimwi ulipoingia..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…