Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Signal matrix inaonesha kutumia junk DNA ya kila mwanadamu katika Universal data base matrix ...

Uhusiano wa mind controller na Junk DNA ( Non coding Bases ) umeonesha kuwa mwanadamu ni controlled katika nyanja zote...

Sina uwezo mkubwa wa kukufanyia proof ya hilo but mfumo wako mzima wa mwili upo under gene control katika DNA yako...

Watu ambao wame hack off system ambayo inayokuwa controlled na viumbe wenye uwezo mkubwa all maarufu kama Aliens unaonesha kuwa mwanadamu yupo in use bila yeye kujua huku Trapping system ikionesha kuwa kila anachofikilia kinajulikana somewhere kwa kutumia hizo Signals ambazo zinakuwa trapped kupitia Junk bases zetu kwenye DNA..

Ndo mana wataaalumu wa mambo ya molecular analysis wanakwambia kuwa Hizo junk ( non -coding bases) kwenye DNA yetu hazisave for nothing only connecting human being na Universal data base inayotrap kila mmoja wetu kwenye system inayotucontrol...

Kitu kingine kinachosapoti hiyo kitu ni sisi binadamu kuwa connected kila mmoja wetu indirectly...

We are connected each other mindly and all other aspects za mwanadamu.

If somebody is affected mindly,effects hiyo huendelea kuaffect hata mtu mwingine and finally inakuwa imeaffect watu wote..
Ni ngumu sana kuliprove hilo kwa sababu tupo subjected kwenye illusion kubwa sana...only Neural scientists can prove for you kuwa we aee mindly connected each other ...

We are synchronized with the matrix sytem interms of electromagnetic kiasi kwamba kutrap hiyo system you need to understand your blueprint ( DNA ) system kwanza...

Study moja ilifanyika huko michigan ambayo ilihusisha kuharibu Mind ya mwanadamu kwa kutumia mionzi iliyokuwa inatolewa na mashine moja...na madhara yalikuwa ni kwamba kadri neurones za mwanadamu zilivyokuwa zinachange( haribika) walikuwa wanaangalia pia effetcs kwenye mind nyingine ya mwanadamu ambaye alikuwa hajaconnectowa kwenyr mashine ile na conclusion ilikuwa ni kwamba we are connected each other ...

Electromagnetic effects kwenye DNA ya mwanadamu inaaffects zaidi Junk bases( Exon) ambazo kimsingi ndo zinacontrol Intron ( coding bases) zingine ambazo kazi zake zinajulikana..huku

Kwa hiyo conclusion iliyofikiwa ni kwamba ,we human being are controlled kupitia mfumo wa bases ambazo ndo zinatoa signal kwenda kwenye system link nyingine ambayo ina uwezo wa kuharibu mfumo mzima wa DNA bases zingine zaidi...

Thus why they control human mind through electromagnetic waves pamoja na njia nyingine ambazo zitamconnect mwanadamu kwenye system ya mfumo mzima wa DNA yake na system nyingine...

Kwa hiyo JUNK SYSTEM BASES ndo zinatoa signal ya kucontrol DNA nzima ya mwanadamu...

We are nothing at all only our DNA( blueprint) ndo inayotupa concious ya kuja kinachoendelea..tukiizimisha hiyo basi hata wewe hutajua kama upo dunia hii...

Asije akakuambia mtu hata siku moja kuwa hizo junk bases hazijulikani kazi zake...hapana..big no madameeee nakukatakia kabisa kwa moyo wote...
DNA scanning ilishagafanyika kitambo sana kubaini kila aina ya genes kwenye mfumo wako wa DNA na kuna kila cell yako moja ina zaidi ya 25,000 ...Leo hii tusingeweza kudetect abnormal genes zinazosababisha magonjwa kama DM ,sickle cell disease na Syndromes kibao kama Down syndrom, Turner's syndrome,Edward's sydrome n.k


So Junk bases zinajulikana kazi yake ambazo zinaonekana kutuconnect sisi wote kwenye universal data base ya utambuzi wa kila kiumbe hence kuwa easy controlled..

Ndo mana mpaka leo kuwaona wale beings( Aliens) inakuwa ngumu kwa sababu there is no need for them to reveal to us coz they control and see us through the signals trapped through the non coding bases za kila mmoja wetu...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nlifika huko underground

Wale jamaa ni walafi sana

Wana komba mboga ni balaa , allien usipime dadeki !

Nkienda tena ntapiga nao selfie [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hafu najiuliza sana , yaani wametutrngeneza hafu , wanataka watuangamize

Mashoga sana hao maalliens ***** zao

Wambie nkiwapata ntawatindua tindua vibaya mno [emoji53]


Ndo wakamtengeneza mtu kama magu na trump manyoko sana hao [emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkuu hiyo inaitwa transformation ya humanism kutoka morphology moja na tabia kwenda kwenye mfumo mwingine wa maisha...

(Transhumanism)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkuu hiyo inaitwa transformation ya humanism kutoka morphology moja na tabia kwenda kwenye mfumo mwingine wa maisha...

(Transhumanism)

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nisaidie namba moja ya binti wa kiallien !

Inaonekana una ukarib nao sana

Sidhan kama atakua ananipiga mizinga kama hawa binadamu

Yaani nawamind wanawake wa kibinadamu [emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao Allien ni Vilaza. Wanaumba viumbe then wanawaogopa mpka wanaamua kuishi kwa siri kwa kujificha jificha. Na kujionyesha kwa watu wachache.
Basi ndo hvy binadamu hana cha kuogopa aanze kuishi maisha anavyotaka yeye sababu kumbe wao wameumbwa na ALLIEns waoga kinyama......
Yaani kinyago ukiumbe mwenyewe then ujifiche it means unakiogopa!! Hata hao binadamu wakijua kuwa ndio wameumbwa na hao alliens nini kitabadilika mpk waogope .
Serious kama kuna mtu anayeamini hii kitu ntamshangaa sana.
Yaani tangu binadamu hajui kitu mpk sasa yeye huyo alliens amekaa tu anatuchungulia kama movie??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...je_wewe ni muumini wa biblia/mkristo ama Quran/muislamu. ?!..au wewe mtazamo wako kiimani ni UPI mkuu

......ukinijibu ntajua kama ni nawewe ni kilaza ama la !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…