Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

 
Mkuu nataka kujua, inakuaje ni watu wachache ndo wana hii elimu? Wameipata vipi bila kuathirika?
....
"society with the secret".....

hata wewe unaweza pata access ya kupata real info about the jamii yenye ocult za kutosha katika kuhifadhi data zenye ukweli...

Kila unachokiona ni matokeo ya usiri huo...bila usiri huo ulimwengu ungekuwa tofauti..


Kikao cha walimu hakihusishi mwanafunzi katika kujadili namna yaa kudili na mwanafunzi...ila linapofika swala ya kujadili mafanikio ya namna mwanafunzi alivyoshughulikiwa kiongozi wa wanafunzi hushirikishwa ili apate moja bila tatu kuhusu uongozi wa shule ulivyo..

Ndivyo ilivyo kwa watawala wa ulimwengu huu...wapo baadhi ya binadamu hushirikishwa katika kujua moja mbili tatu za ukweli flani..kwa hiyo endelea kuhunt the truth utakuja kujua tu mkuu..
 
Unakoelekea utakuja kuuliza mungu aliumbwa na nani!?
 
Hii nakubaliana nawe kabisa. Kuna watu husema Shetani alikuwa mkorofi akafukuzwa Mbinguni akaletwa duniani. Lakini Adam hakuwa mkorofi kama shetani, lakini naye bila kosa eti akatupwa duniani aliko tupwa shetani. Conclusion yangu ni kwamba, kwa sababu tangu tuje humu duniani hakuna aliyewahi kumuona shetani, inanifanya niamini Shetani ni binadamu mwenyewe. Ila kwa kutokutaka kukubali ukweli huo anaanza kumsingizia shetani ambaye hata ha exist.

Hili ni gereza tulitupwa humu, na ndio maana tunasali na kuomba misamaha kwa aliyetuhukumu kupitia dini tukiamini iko siku tutasamehewa turudishwe huko wanakopaita paradise. Elements za ushetani zote tunazo wanadamu, ila kila mtu hataki kufanya hadharani, wauaji huua kwa siri,wezi na waovu wote. Bado watu hawajataka kukubali tu.
 
Na viumbe wengine kama simba chuo etc nani kawaumba?
 
Na viumbe wengine kama simba chui etc nani kawaumba?
 
If they can clone monkeys which share the same moleculer arrangement and yet they have succeded cloning and engeneering the complex species that posses both living and non-living features of existance( Viruses) ,cant they clone human being??? A qn to think ... if they make a total extinction of your genetics they can also reprogramme your genetic through genetic engeneering...

Kati ya molecular structure ya virus na ya mwanadamu ipi ni complex at all?

Human beings are just a party of project undergoing in this world...

We are surviving to fulfil some peoples' idea and when your part is over they make just to make you die so as they can modify another one to replace you through a natural way of giving birth through ourselves...

Life is just the matrix...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Na wazungu wanatoa wap?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prove ua word ukiweza ndo tunaweza sema bibble na quruan no ila huna uwezo wa kuprove ivo wacha tuamini bibile na quruan maana ni maandiko tunayoyaona kuliko kuamini hicho unachosema ww na hauna evidence

Sent using Jamii Forums mobile app
Ko hata mimi nikiandika maandiko ukayaona utaamini? Au unachagua wa kuwa mini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…